nngu007
JF-Expert Member
- Aug 2, 2010
- 15,862
- 5,797
| ||
|
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
| ||
|
Hiv nimakosa kafulila kugomba??
Kwa nini mbatia asiruhusu uchaguzi??
Kama wajumbe hawamtaki kafulila si waamue kwenye uchaguzi??
MbatiaKati ya kafulila na mbatia nani anaua upinzani??
acha asema ukweli unafiki utatuua na umasikini eti kisa siri za chama hayo ndyo yameifikisha ccm hapaMachali ni mamluki toka CHADEMA, anajifanya mwana NCCR Mageuzi lakini anafanya kazi kwa maslahi ya CHADEMA. Ametumwa kukisambaratisha chama cha NCCR Mageuzi kisha ahamie CHADEMA. Angekuwa mwanachama safi wa NCCR mageuzi asingetoa siri za chama kwa CHADEMA kupitia gazeti lake Tanzania daima. Badala yake angetumia muda wake wote kutafuta suluhu ya migogoro badala ya kuchonganisha watu.
Hapa umenena mfano mzuri ni Walid Kaborou, Nzwansungwanko Daniel....Kafulila anaonekana tu hata kwa nje...lakini hawa watu wa Kg vipi?mbona wako kipopo popo sana wana tatizo gani kisaikolojia ama kibaiolojia?
Nina mfano hai kwa washikaji wangu kusema kweli wanapenda sana heshima na vyeo (recorginition) hata kama uwezo hana,nabaki najiuliza na naendelea kuamini hawa wenzetu wana tamaa sana
Machali ni mamluki toka CHADEMA, anajifanya mwana NCCR Mageuzi lakini anafanya kazi kwa maslahi ya CHADEMA. Ametumwa kukisambaratisha chama cha NCCR Mageuzi kisha ahamie CHADEMA. Angekuwa mwanachama safi wa NCCR mageuzi asingetoa siri za chama kwa CHADEMA kupitia gazeti lake Tanzania daima. Badala yake angetumia muda wake wote kutafuta suluhu ya migogoro badala ya kuchonganisha watu.
Machali ni mamluki toka CHADEMA, anajifanya mwana NCCR Mageuzi lakini anafanya kazi kwa maslahi ya CHADEMA. Ametumwa kukisambaratisha chama cha NCCR Mageuzi kisha ahamie CHADEMA. Angekuwa mwanachama safi wa NCCR mageuzi asingetoa siri za chama kwa CHADEMA kupitia gazeti lake Tanzania daima. Badala yake angetumia muda wake wote kutafuta suluhu ya migogoro badala ya kuchonganisha watu.[/QU point of correction TANZANIA DAIMA sio gazeti la CHADEMA
Kuna bundi mkubwa ndani ya NCCR.
Mbati is not straight ni Homo,NCCR haipaswi kuongozwa na gay.