naunga mkono hoja!Maneno mazuri haya mkuu
Sio mjinga.Magufuli anaweza kuwa anafanya vizuri ila take it from me.... Hizi juhudi zake za zisipokuwa institutionalized.... Hasa kupitia mfumo wa kisheria(katiba), akiondoka tunarudi square one
Yawezekana hana mpango wa kuondoka!Magufuli anaweza kuwa anafanya vizuri ila take it from me.... Hizi juhudi zake za zisipokuwa institutionalized.... Hasa kupitia mfumo wa kisheria(katiba), akiondoka tunarudi square one
Ataondoka tu... Kwani hatakufa, ataishi milele? Even if it takes a century.... Atatoka tu!!! That i'm sureYawezekana hana mpango wa kuondoka!
uchaguzi ni mwandishi amemuulizaHuyu naye si angeshukuru tu... hayo alikuwa wapi tangu uchaguzi kuyaongelea tena.
Anakinyongo bado hafai kupata cheo huyu, labda abadilike. Kulalamikaaaaaaaaaaaaaa eti ayaonyeshe leo ndio kakumbuka yapo... ayaonyeshe basi... sio kulalamika baada ya kusifiwa hata kama labda hayo anayodai yalitokea... ila why leo... y sio jana au juzi... huyu kama anadanganya tu... mahakama kukata tufaa si kupo au!? kweli kuna binadamu wanashangaza shaaaaaaa. Pia bila siasa hawezi kufanya biashara au!? Kwani sie tusio kwenye siasa hatuishi!!
Katiba pekee haina msaada kama dhamira kwa waliopewa mamlaka hawako tayari kuifuata na kuilinda, kila cku tunasemaMagufuli anaweza kuwa anafanya vizuri ila take it from me.... Hizi juhudi zake za zisipokuwa institutionalized.... Hasa kupitia mfumo wa kisheria(katiba), akiondoka tunarudi square one
Naye alipiga makofi Kafulila alivyoitwa tumbiliHalafu huyo aliekuwa anamsifia leo, alikuwa upande wa serikali kipindi kile na hakuonyesha kupinga.. leo anataka kuchukua B aonekane yeye ndo mzalendo kuliko.. Unafiki wa kiwango cha makinikia..