Uwezo Tunao
JF-Expert Member
- Nov 14, 2010
- 6,942
- 1,190
Kwa mtindo huu kulipana mishahara na marupurupu chini ya meza kwa kutazamana tu sura bila vigezo maalum na ya wazi kwa kada zote katika taifa letu.
Tanzania yetu hii tutaendelea kupoteza kodi zetu nyingi sana kuzalishia mataifa mengine wataalam waliobobea katika fani zao na sisi tukibaki kutumikiwa na jopo kubwa la vilaza na mbumbumbu ambao kinga yao maofisini huko ni matumizi ya ndumba kila uchao na kupika majungu.
Tusahau kabisa kitu maendeleo kama hatuwezi kufanya National Rationalisation of Public Service Salaries and Allownces zenye kuendana na wakati, kuleta uwiano, kuongez morali ya kazi na enye kudhibitika for greater accountability needs.
Tanzania yetu hii tutaendelea kupoteza kodi zetu nyingi sana kuzalishia mataifa mengine wataalam waliobobea katika fani zao na sisi tukibaki kutumikiwa na jopo kubwa la vilaza na mbumbumbu ambao kinga yao maofisini huko ni matumizi ya ndumba kila uchao na kupika majungu.
Tusahau kabisa kitu maendeleo kama hatuwezi kufanya National Rationalisation of Public Service Salaries and Allownces zenye kuendana na wakati, kuleta uwiano, kuongez morali ya kazi na enye kudhibitika for greater accountability needs.