Kafiri mbaya,kiatu chake dawa!

TUKUTUKU

JF-Expert Member
Sep 14, 2010
11,768
4,033
Suala la kuanzisha Mahakama ya kadhi limekuwa gumzo kubwa nchini kwetu katika miaka ya hivi karibu.Waislamu wanataka chombo hichi kitambuliwe na serikali. Vilevile, gharama za uendeshaji wake zibebwe na serikali.Kuhusu suala la gharama la uendeshaji wa chombo hichi kugharamiwa na serikali. mimi linanishangaza sana,kwa sababu hili haliendani na misingi ya dini ya kiislamu.Fedha za serikali zinapatikana kutoka vyanzo mbalimbali vya mapato,ambavyo kimsingi haviendani na imani ya dini ya kiislamu.Kwa mfano dini ya kiislamu hairuhusu hutozaji wa riba,na pato lolote linalotokana na riba ni haramu.Hapa ukichunguza kwa makini utagundua mojawapo ya chanzo cha mapato ya serikali ni utozaji wa riba,je hili linarususiwa na imani ya dini ya kiislamu?Mfano mwingine ni kuhusu suala la pombe.Misingi ya dini ya kiislamu inakataza unywaji na utengenezaji wa pombe kama njia ya kujipatia fedha.Pombe katika nchi yetu ni mojawapo ya chanzo cha mapato ambayo huingizwa kwenye mfuko mkuu wa serikali, ili kuendesha shughuli za serikali.Je waislamu hawaoni kugharamia shughuli za mahakama ya kadhi kwa kutumia fedha hizi ni harama?Mfano mwingine ni suala la hulaji na ufugaji wa nguruwe,hii ni haramu kwa uislamu,lakini hukichunguza kwa makini hutagundua mojawapo ya chanzo cha mapato ya serikali ni ushuru unaotozwa kutokana na ufugaji na huuzaji wa nyama ya nguruwe,mapato haya yote hupelekwa kwenye mfuko wa serikali ili kugharamia shughuli mbalimbali za serikali.Je waislamu hawaoni fedha hizi kugharamia shughuli za mahakaha ya kadhi ni haramu?Katika siku za hivi karibuni kumekuwepo na jitihada mbalimbali za uanzaishwaji wa Islamic banking wing katika benki za biashara mbalimbali hapa nchini kwa mfano banki ya biashara ya taifa(NBC) na Benki ya biashara ya Kenya(KBC),yote haya yamefanyika ili kuwawezesha waislamu kuepukana na mfumo wa kawaida wa kibenki(conventional banking system) ambayo ni dhambi kuutumia kwa kuwa utatoza na kutoa riba.
Fedha chafu kama hizi kwa nini zitumike kuendesha shughuli halali za mahakama ya kadhi, ambayo itakuwa inaheshimika kidini?Naomba waislamu wafanya uchunguzi wa kina kabla ya kukubali kutumia fedha chafu kiasi hiki na hasa zile zinazotoka kwa makafiri,ili kuiwezesha mahakama yao kuwa takatifu.

Nawasilisha!
 
Siyo kwamba hizi pesa tutazitumia moja kwa moja, ni lazima tutazisomea kisomo ili mwenyezi Mungu aweze kizitoa udhu na nuksi yeyote itakayokuwa imeambatana nazo hizo pesa. Watu wengi hawajajua hii mahakama itakuwa yenye manufaa sana kwa watanzania maana uharifu utapungua sana kama siyo kuisha. Hebu fikiria watu wote wanaofanya zinaa kwenye sehemu za starehe inatakiwa wauawe, mtoto akiiba pesa ndani akatwe kiganja, huoni kwamba maadili yatakuwa juu sana, isitoshe hata population itapungua maana wazinzi Tanzania watauawa sana tutabakia sisi waswaafi tukifurahia fursa mbalimbali zilizoachwa na watu walio uawa kwa dhambi:whoo:
 
NDUGU EZAN,kwa hayo uliyoyaelezea nimepata kigugumizi na nimeshindwa kabisa kuchangia hilo swala,
niko njiapanda,kama mambo yenyewe ndiyo hayo basi,inabidi hii mada ifunguliwe page na wanajamvi wote
tuijadili na hii ni kwa faida ya taifa na waislam wote kwa ujumla,kisha kufikia muafaka yakuwa upi ni uamuzi
sahihi,kwa sababu hiyo mahakama itawagusa watanzania wote kwa ujumla,bila kujali dini zao,nawasilisha
 
NDUGU EZAN,kwa hayo uliyoyaelezea nimepata kigugumizi na nimeshindwa kabisa kuchangia hilo swala,
niko njiapanda,kama mambo yenyewe ndiyo hayo basi,inabidi hii mada ifunguliwe page na wanajamvi wote
tuijadili na hii ni kwa faida ya taifa na waislam wote kwa ujumla,kisha kufikia muafaka yakuwa upi ni uamuzi
sahihi,kwa sababu hiyo mahakama itawagusa watanzania wote kwa ujumla,bila kujali dini zao,nawasilisha

Ina faida kwa waislamu,na haina faida kwa wakristu zaidi ya athari ndogo ndogo!
 
Upembuzi wako yakinifu umenifurahisha sana,uliyoyasema yote ni ya kweli na napigia mstari 're is a big contradiction on dat.
 
Unyanyapaaji
Sisi waislam tusiwe mazuzu kwa kujifanya watoto na kutendewa kila kitu na serikali
Huu ni uzuzu
Sisi waislam tunaonekana mazuzuuu
 
Unyanyapaaji
Sisi waislam tusiwe mazuzu kwa kujifanya watoto na kutendewa kila kitu na serikali
Huu ni uzuzu
Sisi waislam tunaonekana mazuzuuu

Mimi ni mkristo lakini nimefurahishwa na fikra zako pevu na hili linatakiwa kufikiriwa na waislamu wote nchini. Hongera ndugu yangu kwa kukomaa kifikra na kuona mbali zaidi.
 
Wewe kimbweka siyo muislamu, na waislamu wenyewe wanajua kwamba kuna wakristo humu ambao huwa wanaandika mamb ya kijingao kwa kujifanya waislamu. Wanawaangalieni tuu.
My husband is a member of Nation of Islam by the way, ingawa mimi siyo muislamu.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom