je parle
JF-Expert Member
- Nov 28, 2018
- 1,874
- 3,614
Usituchoshe huna unachojua kuhusu uislamu una dandia dandia tu hueleweki .uislamu umeusoma wapi ?? Hadi uje kujifanya ww unajua sana alaf eti sisi tukaulize masheikh ebu chukua timeHivi nyie Wat’TZ mnaakili gani ? Why you guys acting so insane?
1. Unasema nilichoandika ni Uongo
2. Unaniambia nitoe ushahidi juu ya kile ulichosema ni Uongo.
3. Tatu unaniomba kwa heshima na taadhima nitoe majibu ya kile ambacho umekiita ni UONGO, Old Madame, are you Mad or Insane( excuse my language, you are acting stupidly)
Hata hivyo, Mimi sio kazi yangu kukufundisha yaliyomo Kwenye imani yako ; you should come here with facts and tell me nilichoandika sio kweli based on this and that.
My home Work to you;
Since you seems you don’t know any things except what you chose to know;
Now go and read or ask your Shekh —How Quran was compiles after the death of Muhammad. The Prophet hakuacha hiyo misahafu mnayotumia nyie kwa sasa.
Quran imekusanywa wakati wa Ukhalifa wa Abubakar baada ya kuona many Muslims died Kwenye Violence za ku defending Islamic faith. Sasa Go and read the whole process including the challenges untill today you are using that version, old woman.
Don’t come here and ask me to do your task again. Come here with the facts and maturity, tell me where I have lied based on available data. Otherwise you are a sheep .