Kuna watu wanaweweseka kwenye huu uzi hapo juu.
Wanasema aliuza nyumba ya kinondoni akanunua nyingine kigamboni ikachukuliwa na nini sijuiAcha yule mbwa alichangia sana kumumiza Manji ili Yanga ipate shida. Mungu si Athumani yeye mwenyewe havieleweki kabisa kwa sasa.
Hao aliowasaidia kufanya hujuma za kila namma ili wawe pazuri wanamwangalia kama nyanya mbovu wakati huu.
Kwa hiyo ule wkt akiaapa tuseme alikuwa amrchanganyikiwaKlabu kubwa kama Yanga haiwezi fanya mchezo wa kurudisha rudisha magoli. Lengo la msingi ni kujaza ndoo kabatini.
Je bado anapesa?Nasema hivi,
Yule msiempenda anasogea kwenye meza ya chakula, maana ameonekana akinawa mikono na kijifuta kwa taulo safi jeupe. Amesema kuwa atashiriki kwenye chakula cha jioni siku ya Jumapili, Juni 27, 2021.
Mwenyekiti wa zamani klabu ya Yanga SC, Yusufu Manji yuko nchini na anatarajiwa kushiriki Mkutano Mkuu wa Wanachama utakaofanyika Jumapili, Juni 27, 2021. Manji amekamilisha mahitaji yote ili kuweza kushiriki Mkutano huo ikiwa ni pamoja na kulipia ada za uanachama wake.
Hii siso habari njema sana kwa upande hule wa pili, ambao wengi waliomba jamaa angeendelea kubaki uzunguni ili waepuke dhahama ya kuwekwa chini ya ulinzi na mwenyekiti jeuri.
Unadhanani mashabiki wa Mikia FC wanaumia kwa asilimia ngapi baada ya kusikia hii habari.?
View attachment 1826606
Mo tapeli sanaKumekucha huku Manji huku Mo kazi ipo
Hivi zile bilioni keshazitoa au ndio janja janja tu inafanywaMo tapeli sana
Unajua viliko viwanda vya Mo?Hivi zile bilioni keshazitoa au ndio janja janja tu inafanywa
Unajua viliko viwanda vya Mo?
Mo tapeliSijawahi kuviona hata mkuu
Watakua wamevua mashati na kujipepeaNasema hivi,
Yule msiempenda anasogea kwenye meza ya chakula, maana ameonekana akinawa mikono na kijifuta kwa taulo safi jeupe. Amesema kuwa atashiriki kwenye chakula cha jioni siku ya Jumapili, Juni 27, 2021.
Mwenyekiti wa zamani klabu ya Yanga SC, Yusufu Manji yuko nchini na anatarajiwa kushiriki Mkutano Mkuu wa Wanachama utakaofanyika Jumapili, Juni 27, 2021. Manji amekamilisha mahitaji yote ili kuweza kushiriki Mkutano huo ikiwa ni pamoja na kulipia ada za uanachama wake.
Hii siso habari njema sana kwa upande hule wa pili, ambao wengi waliomba jamaa angeendelea kubaki uzunguni ili waepuke dhahama ya kuwekwa chini ya ulinzi na mwenyekiti jeuri.
Unadhanani mashabiki wa Mikia FC wanaumia kwa asilimia ngapi baada ya kusikia hii habari.?
View attachment 1826606
Siku nikiona Takukuru wanaanza kumzengea nitafurahi sana! Akifikia hatua aliyofikia Sabaya nitakunywa bia nyingi hadi nimcheue!Yule aliyekua mkuu wa mkoa Fulani alimfanyia fujo Sana akitambua kwa kipindi kile Manji alikua ndio mhimili wa Yanga. Kwa Sasa sijui anajisikiaje.
Faili la ny.okoYeye sio mchezaji. Waulize wenzako walio anza kushabikia mpira kabla yako, watakupa file lake?