Kaeni mkao wa kula, msiempenda kaja - Yusuf Mehboob Manji

Kama ni kweli,hakika huyu mwamba anaipenda sana hii tim,ni changamoto tu za awamu ile ndo zilimrudsha nyuma na kupelekea Yanga kudhoofika,enwei ngojea tusubrie tuona.
 
Acha yule mbwa alichangia sana kumumiza Manji ili Yanga ipate shida. Mungu si Athumani yeye mwenyewe havieleweki kabisa kwa sasa.
Hao aliowasaidia kufanya hujuma za kila namma ili wawe pazuri wanamwangalia kama nyanya mbovu wakati huu.
Wanasema aliuza nyumba ya kinondoni akanunua nyingine kigamboni ikachukuliwa na nini sijui
 
Nasema hivi,

Yule msiempenda anasogea kwenye meza ya chakula, maana ameonekana akinawa mikono na kijifuta kwa taulo safi jeupe. Amesema kuwa atashiriki kwenye chakula cha jioni siku ya Jumapili, Juni 27, 2021.

Mwenyekiti wa zamani klabu ya Yanga SC, Yusufu Manji yuko nchini na anatarajiwa kushiriki Mkutano Mkuu wa Wanachama utakaofanyika Jumapili, Juni 27, 2021. Manji amekamilisha mahitaji yote ili kuweza kushiriki Mkutano huo ikiwa ni pamoja na kulipia ada za uanachama wake.

Hii siso habari njema sana kwa upande hule wa pili, ambao wengi waliomba jamaa angeendelea kubaki uzunguni ili waepuke dhahama ya kuwekwa chini ya ulinzi na mwenyekiti jeuri.

Unadhanani mashabiki wa Mikia FC wanaumia kwa asilimia ngapi baada ya kusikia hii habari.?

View attachment 1826606
Je bado anapesa?
 
Nasema hivi,

Yule msiempenda anasogea kwenye meza ya chakula, maana ameonekana akinawa mikono na kijifuta kwa taulo safi jeupe. Amesema kuwa atashiriki kwenye chakula cha jioni siku ya Jumapili, Juni 27, 2021.

Mwenyekiti wa zamani klabu ya Yanga SC, Yusufu Manji yuko nchini na anatarajiwa kushiriki Mkutano Mkuu wa Wanachama utakaofanyika Jumapili, Juni 27, 2021. Manji amekamilisha mahitaji yote ili kuweza kushiriki Mkutano huo ikiwa ni pamoja na kulipia ada za uanachama wake.

Hii siso habari njema sana kwa upande hule wa pili, ambao wengi waliomba jamaa angeendelea kubaki uzunguni ili waepuke dhahama ya kuwekwa chini ya ulinzi na mwenyekiti jeuri.

Unadhanani mashabiki wa Mikia FC wanaumia kwa asilimia ngapi baada ya kusikia hii habari.?

View attachment 1826606
Watakua wamevua mashati na kujipepea
 
Yule aliyekua mkuu wa mkoa Fulani alimfanyia fujo Sana akitambua kwa kipindi kile Manji alikua ndio mhimili wa Yanga. Kwa Sasa sijui anajisikiaje.
Siku nikiona Takukuru wanaanza kumzengea nitafurahi sana! Akifikia hatua aliyofikia Sabaya nitakunywa bia nyingi hadi nimcheue!
 
Back
Top Bottom