Kadri wanawake wanavyosimama kudai haki sawa, ndivyo wanaume wanavyozidi kuacha kutekeleza majukumu yao

kombaME

JF-Expert Member
Aug 24, 2015
2,115
2,809
Hii vita sijui nani atakuwa mshindi, maana wanawake siku hizi hawana adabu wala utii tena kwa wanaume zao, kila kitu wanaonewa, wametoka kwenye kudai usawa sasa wanadai upendeleo, suala linalopelekea wanaume kuwazalisha au kuwaoa na kuwafuja tu hawawi responsible tena.

Zamani wanaume walikuwa responsible sana kwa familia zao, lakin wanawake walikuwa watiifu kwa waume zao, kadri siku zinavyozidi kwenda hali inazidi kuwa mbaya, wacha tusubiri tuone.
 
Majukumu gani hayo tumeshindwa kutekeleza? Siku mkiwa na msimamo juu ya kumpa nani mbususu ndio maisha yatakuwa rahisi sana so far tutaenda kwa style ya timing kama unataka kuua kobe.
 
Mimi nafanya majukumu yangu simuangalii mwanamke hua namuachiaga Uhuru afanye kile anachoweza
 
Hii vita sijui nani atakuwa mshindi, maana wanawake siku hizi hawana adabu wala utii tena kwa wanaume zao, kila kitu wanaonewa, wametoka kwenye kudai usawa sasa wanadai upendeleo , suala linalopelekea wanaume kuwazalisha au kuwaoa na kuwafuja tu hawawi responsible tena.

Zaman wanaume walikuwa responsible sana kwa familia zao, lakin wanawake walikuwa watiifu kwa waume zao, kadri siku zinavyozidi kwenda hali inazid kuwa mbaya, wacha tusubiri tuone
Hapo kwenye majukumu ya wanaume sijakuelewa maana bibi na mama zetu walikuwa wanachangia asilimia kubwa pato la familia kwa kulima shambani na bustanini na kufuga kulisha familia.

Lakini wanawake wa sasa wanachojua mwanaume responsible ni yule anayemlisha mke na watoto kwa 100% mke yeye ni wa KUPEWA HELA TU GOALKEEPER!!!! All in all mafahari wawili hawakai zizi moja.

Wanaume wanashindwa kuishi na wanawake wanaotaka usawa wa madaraka ila ktk kuchangia matumizi wao wapewe tu. Huko walikotoa u feminism Ulaya na marekani wanawake wanachangia pato la familia 50 kwa 50.
 
Sema huu utandawazi na smartphones zinatuharibu sana yaani

Mwanamke abaki kuwa mwanamke na Mume abaki kuwa Mume
 
Back
Top Bottom