Jitu Refu
JF-Expert Member
- Sep 9, 2016
- 823
- 804
Watakuwa watongozaji wazuri kwa maneno na siyo kwa vitendo (mitego) kama ilivo zoeleka, tena na kwasasa na usawa huu unavobana nazani ma-bachelor watapata Phd kabisa, kwasababu haya matangazo ya kutafuta mume yamekuwa mengi siku hizi.
Jumamosi nilikuwa kwenye harusi kuna dada alienda kwa MC na kumwambia atangaze kuwa anatafuta mume wa kumuoa na namba ikarushwa kwenye tangazo na sifa nyingi za binti huyo sasa wadada wameamua.
USHAURI: Nyie wadada tafuta pesa, jijenge wewe mwenyewe kimaisha ukiwa vizuri tafuta bwana utakayempenda oa a.k.a muweke ndani hakuna namna.
Jumamosi nilikuwa kwenye harusi kuna dada alienda kwa MC na kumwambia atangaze kuwa anatafuta mume wa kumuoa na namba ikarushwa kwenye tangazo na sifa nyingi za binti huyo sasa wadada wameamua.
USHAURI: Nyie wadada tafuta pesa, jijenge wewe mwenyewe kimaisha ukiwa vizuri tafuta bwana utakayempenda oa a.k.a muweke ndani hakuna namna.