sanalii
JF-Expert Member
- Oct 1, 2018
- 1,434
- 5,088
nilikua ni mtu wa matani mengi, hata jambo la serious mimi nilikua naleta utani, nilikua na tabia ya sura mbili, nikiwa nyumbani ni mwema nikiwa mtaani wanavunjia adabu watu, nilikua na vitabia ambavyo vinakera ingawa mimi sikuona hili, nilidhani naonewa.
1. Tukio la kwanza
Siku moja nikiwa sehem fulani nilijipaka gundi ya maji nikidhani mafuta, jamaa mmoja aliposikia akasema "ndio vizuri mana anasifa sana huyu" jambo lile liliniuma nikiamini kua jamaa hanipendi ananichukia.
2. Tukio la pili
Nilienda ugenini, mmoja wa wenyeji akawa ananionesha sehemu fulani, alipokua ananionesha, nilifanya utani ila yule mwenyeji hajasema, nilikuja kusikia baadae na mtu mwengine kua alikasirika nilivyojibu, pia niliona kama yule mwenyeji hanipendi coz amekasirika kwa jambo dogo.
Leo hii nimekua nakutana na watu mbalimbali ambao wengine wanatabia kama zangu (nyingi nimeziacha na naendelea kuziacha) ndio naelewa, kitu hiki kimenifanya niwasamehe wote niliodhani walikua wananichukia, tabia zangu zilikua zinakera coz hata mimi nikikutana nazo zinanikera sana.
1. Tukio la kwanza
Siku moja nikiwa sehem fulani nilijipaka gundi ya maji nikidhani mafuta, jamaa mmoja aliposikia akasema "ndio vizuri mana anasifa sana huyu" jambo lile liliniuma nikiamini kua jamaa hanipendi ananichukia.
2. Tukio la pili
Nilienda ugenini, mmoja wa wenyeji akawa ananionesha sehemu fulani, alipokua ananionesha, nilifanya utani ila yule mwenyeji hajasema, nilikuja kusikia baadae na mtu mwengine kua alikasirika nilivyojibu, pia niliona kama yule mwenyeji hanipendi coz amekasirika kwa jambo dogo.
Leo hii nimekua nakutana na watu mbalimbali ambao wengine wanatabia kama zangu (nyingi nimeziacha na naendelea kuziacha) ndio naelewa, kitu hiki kimenifanya niwasamehe wote niliodhani walikua wananichukia, tabia zangu zilikua zinakera coz hata mimi nikikutana nazo zinanikera sana.