Phillipo Bukililo
JF-Expert Member
- Dec 29, 2015
- 18,488
- 13,608
Alipigiwa kura na watu wanaoviunga mkono vyama vyote vilivyounda UKAWA. Dr Slaa alikuwa akipigiwa kura na watu wenye kuinga mkono CHADEMA pekee. Kwenye suala la substance kichwani mzee wa karatu yupo juu sana kumlinganisha na mzee wa mvua ya Thailand.Lakini alipata kura mara tatu za mla mihogo