Kadiri Lowassa anavyojiimarisha CHADEMA, ndivyo chama kinavyofifia na kupotea

Umelielewa swali? mikutano gani ya mwaka mzima huko Brazil wanaifanya. Nazungumzia mikutano ya kisiasa sizungumzii maandamano. Sijaona mikutano wa Hadhara wa Labour conservative Democratic republican zaidi ya mikutano yao ya kawaida kama mimi muongo nipatie ratiba ya mikutano ya hivyo vyama. Hata Africa kusini hawafanyi siasa kama za bongo ndiyo maana siasa hizi zipo kwenye ubongo wenu mpaka mnadhani maandamano ya kushinikiza kitu mnadhani ni siasa. Hillary humuoni tena mitaani kama Lowasa na Seif zaidi ya mikutano tofauti na siasa. Mit Romney tulimsahau tayari na Hillary karibu tulimsahau lakini Lowasa bado yupo mitaani unadhani aliibiwa pesa. Mccain kama Al gore aligombea mwaka moja na seif akipigwa chini na bush sasa anajishulisha na mazingira Seif bado tunaye. Ndiyo siasa za kiafrika.
Umefanya utafiti kama hakunaga mikutano ya kisiasa??? Unakijua transhumanist party?? Unajua kilifanya mikutano mingapi na midahalo mingapi hadi kikawa cha 5 kwa ukubwa marekani baada ya ya uchaguzi mkuu wa 2016?? Tuanze na hao kwanza ........
TranshumanistParty
 
CHADEMA naitafsiri kama taasisi ya wathubutu,wakosoaji kwa kutumia hoja mujarabu na wapambanaji dhidi ya ufisadi na wizi wa mali za umma. Ni taasisi iliyojengwa na kuheshimika,kwa kuzoa maelfu ya wanachama kwa namna hiyo

CHADEMA ilipendwa na vijana makini na wasomi kwakuwa waliiona Tanzania waitakayo kupitia chama hicho kikuu cha upinzani nchini. CHADEMA ilikuwa taasisi ya kuwasemea wanyonge;kuwaumbua mafisadi;kuwakemea viongozi na kuandaa viongozi wajao. Ilikuwa CHADEMA ya kupigiwa mfano na kuaminika.

CHADEMA imebadilika baada ya kuhamia humo kwa Waziri Mkuu aliyejiuzulu,Edward Ngoyai Lowassa. Sasa,imeanza kupoteza-tena kwa kasi sifa na vivutio nilivyovieleza hapo mwanzo. Lowassa alihamia CHADEMA na watu wake. Kwa maneno mengine,alihamia na 'chama chake'. Tayari yeye na watu wake wameshachomoza na kushika nafasi mbalimbali ndani ya CHADEMA.

Kadiri Lowassa anavyojikita na kujiimarisha,ndivyo 'ile CHADEMA' inavyopotea. Kilele cha kupotea kwa CHADEMA ile kitakuwa wakati wa uchaguzi mkuu wa ndani ya CHADEMA. Hapo patakuwa ni kati ya chama cha Lowassa na chama cha CHADEMA!

Kwaheri 2016,karibu 2017!
Hata mumeo Tyson alisema haya 2014 kuwa cdm haifiki 2015 kitakufa.
Hivii.. yuko wapi huyu mumeo?
 
Mbowe ni tatizo jumlisha na lowassa unakuwa mzigo mkubwa wenye ufundo wa kutosha.
Ni muda wa kufanya mabadiliko ndani ya CHADEMA , vijana makini wako ndani ya Chama lakini awatumiwi.
[HASHTAG]#malisa[/HASHTAG]
[HASHTAG]#yericko[/HASHTAG]
Na hata Ben asiye julikana aliko sasa, hawa wamekuwa wapiga debe tu mtandaoni lakini ndani ya Chama nafasi yao ni finyu sana.

#Mabadiliko_yaanzie_ndani_ya_chama_kwanza.


#Mbowe_ni_tatizo_ndani_ya_chama.
Mbowe na lowasa kwa wanafisiem ni kama ZIKA kuingia bongo
8e536e212df12ae94290214f70d1770d.jpg
 
Kazi ya wataalam ni kuchambua hali halisi na kazi ya watendaji ni kuandaa sera na kutekeleza. Huu uchambuzi uko vizuri sana.

Ila wasiwasi wangu ni wale wanaoona kila uchambuzi ni kinyume na chama au kiongozi fulani hasa wa upinzani.

Nafikiri CHADEMA inaweza okolewa na sisi tusiotaka vyeo na tunataka chama kisimame kabla ya kusimamia.

Tunahitaji fikra mbadala za chama na kuwaambia kwa uwazi Mbowe na EL wasitafute vyeo tena humo ndani, maana walipofikisha chama 2015 inaonyesha ni hatua za mwisho kabisa za ukuaji wa upinzani Tanzania.

Tunahitaji viongozi watakaofikiri tofauti na kwenda na changamoto mpya na mawazo mapya.

Heri ya mwaka mpya wote.
Huna tofauti na huyu
5b252a8a6b6392ef6cca741ee4217592.jpg
 
Si lete utafiti wako? Shida unaona hoja za kupinga CHADEMA ziko Lumumba tu. Akili kama hii haitafikisha chama pamanapotakiwa.

Manaona mmezungukwa na malaika tu!!!
Madai/maneno yako ni mengi mno. Kama hayatokani na utafiti wa kitaalamu ni kelele/ngonjera za ngedere kumshauri mwenye shamba la mahindi.
 
Binafsi niliipenda ile CHADEMA ya mwanzo.Ile iliyochukia na kukemea ufisadi.Ile iliyoibua hoja za kutetea maslahi ya nchi kila mara.Ile iliyoinyima serikali dhaifu ya CCM usingizi.
Naumia sana kuona CHADEMA hii ya kukumbatia mafisadi.CHADEMA ya walafi isiyojali tena misingi yake.CHADEMA ya kukandamiza demokrasia ndani ya chama huku ikijifanya inachukia utawala wa mabavu.
Kwakweli inaumiza sana ukitafakari tulipokuwa tumefika na huko tuliporudishwa kwa uroho wa Mbowe.
Wasalimie
 
Kazi ya wataalam ni kuchambua hali halisi na kazi ya watendaji ni kuandaa sera na kutekeleza. Huu uchambuzi uko vizuri sana.

Ila wasiwasi wangu ni wale wanaoona kila uchambuzi ni kinyume na chama au kiongozi fulani hasa wa upinzani.

Nafikiri CHADEMA inaweza okolewa na sisi tusiotaka vyeo na tunataka chama kisimame kabla ya kusimamia.

Tunahitaji fikra mbadala za chama na kuwaambia kwa uwazi Mbowe na EL wasitafute vyeo tena humo ndani, maana walipofikisha chama 2015 inaonyesha ni hatua za mwisho kabisa za ukuaji wa upinzani Tanzania.

Tunahitaji viongozi watakaofikiri tofauti na kwenda na changamoto mpya na mawazo mapya.

Heri ya mwaka mpya wote.
Ccm na magufuli nani kafifia, ni hesabu ya kawaida kujipatia na mpaka 2020 mtajielewa tu nyinyiem
 
CHADEMA naitafsiri kama taasisi ya wathubutu,wakosoaji kwa kutumia hoja mujarabu na wapambanaji dhidi ya ufisadi na wizi wa mali za umma. Ni taasisi iliyojengwa na kuheshimika,kwa kuzoa maelfu ya wanachama kwa namna hiyo

CHADEMA ilipendwa na vijana makini na wasomi kwakuwa waliiona Tanzania waitakayo kupitia chama hicho kikuu cha upinzani nchini. CHADEMA ilikuwa taasisi ya kuwasemea wanyonge;kuwaumbua mafisadi;kuwakemea viongozi na kuandaa viongozi wajao. Ilikuwa CHADEMA ya kupigiwa mfano na kuaminika.

CHADEMA imebadilika baada ya kuhamia humo kwa Waziri Mkuu aliyejiuzulu,Edward Ngoyai Lowassa. Sasa,imeanza kupoteza-tena kwa kasi sifa na vivutio nilivyovieleza hapo mwanzo. Lowassa alihamia CHADEMA na watu wake. Kwa maneno mengine,alihamia na 'chama chake'. Tayari yeye na watu wake wameshachomoza na kushika nafasi mbalimbali ndani ya CHADEMA.

Kadiri Lowassa anavyojikita na kujiimarisha,ndivyo 'ile CHADEMA' inavyopotea. Kilele cha kupotea kwa CHADEMA ile kitakuwa wakati wa uchaguzi mkuu wa ndani ya CHADEMA. Hapo patakuwa ni kati ya chama cha Lowassa na chama cha CHADEMA!

Kwaheri 2016,karibu 2017!

Nakupongeza kwa hoja yako nzuri. Juzi nilikuwa na vijana walioko vyuoni na wa CHADEMA,walinieleza kuwa wao wameshaanza kuwa na wasiwasi juu ya uchaguzi wa mwenyekiti na nafasi nyingine ndani ya chama na uchaguzi huo unatarajiwa kufanyika hapo baadaye. Sasa wanajiuliza kuwa, je, mwenyekiti wao wa sasa atakubali kuachia nafasi ya uenyekiti na kumuachia mwingine? Je, DEMOKRASIA itachukua nafasi yake ili mwenyekiti aweze kuwania nafasi hiyo na watu wengine? Je, LOWASSA akitaka kugombea uenyekiti wa chama, MBOWE atakubali kumuachia nafasi hiyo? Vijana wao wanahofu juu ya hili na nadhani ni kutokana na uimra wa kiongozi mkuu wa chama. Nafasi ya mwenyekiti wa chadema ni sawa na ilivyo nafasi ya katibu mkuu wa CUF. Ni nafasi zinazosababisa matatizo kwa mtu mwingine anayeziitaji. Ukitaka ukumbwe na misukosuko ndani ya CHADEMA na CUF, wewe onyesha nia ya kuwania nafasi ya MWENYEKITI(CHADEMA) na KATIBU MKUU(CUF).
 
  • Thanks
Reactions: a45
CHADEMA naitafsiri kama taasisi ya wathubutu,wakosoaji kwa kutumia hoja mujarabu na wapambanaji dhidi ya ufisadi na wizi wa mali za umma. Ni taasisi iliyojengwa na kuheshimika,kwa kuzoa maelfu ya wanachama kwa namna hiyo

CHADEMA ilipendwa na vijana makini na wasomi kwakuwa waliiona Tanzania waitakayo kupitia chama hicho kikuu cha upinzani nchini. CHADEMA ilikuwa taasisi ya kuwasemea wanyonge;kuwaumbua mafisadi;kuwakemea viongozi na kuandaa viongozi wajao. Ilikuwa CHADEMA ya kupigiwa mfano na kuaminika.

CHADEMA imebadilika baada ya kuhamia humo kwa Waziri Mkuu aliyejiuzulu,Edward Ngoyai Lowassa. Sasa,imeanza kupoteza-tena kwa kasi sifa na vivutio nilivyovieleza hapo mwanzo. Lowassa alihamia CHADEMA na watu wake. Kwa maneno mengine,alihamia na 'chama chake'. Tayari yeye na watu wake wameshachomoza na kushika nafasi mbalimbali ndani ya CHADEMA.

Kadiri Lowassa anavyojikita na kujiimarisha,ndivyo 'ile CHADEMA' inavyopotea. Kilele cha kupotea kwa CHADEMA ile kitakuwa wakati wa uchaguzi mkuu wa ndani ya CHADEMA. Hapo patakuwa ni kati ya chama cha Lowassa na chama cha CHADEMA!

Kwaheri 2016,karibu 2017!
Wakomakini na niviongosi Makini
 
Umefanya utafiti kama hakunaga mikutano ya kisiasa??? Unakijua transhumanist party?? Unajua kilifanya mikutano mingapi na midahalo mingapi hadi kikawa cha 5 kwa ukubwa marekani baada ya ya uchaguzi mkuu wa 2016?? Tuanze na hao kwanza ........
TranshumanistParty
Kabla sijakujibu naomba unisaidie kwa hili moja kampeni za uchaguzi wa marekani huwa za muda gani? Hii link uliyoiweka haisemi kama hiyo mikutano ya hadhara ilifanyika kuanzia mwaka 2012, zaidi zinasema hotuba katika forums mbalimbali na hiyo ndiyo kazi mojawapo ya vyama katika nchi za wenzetu. Hata hivyo hujanijibu swali langu kuhusu mikutano ya hadhara zaidi ya ku point hiki chama kidogo huko marekani. Nimekuwekea mifano hapo juu ya vyama vikuu marekani na UK. Hujanijibu zaidi ulichokifanya ni ku google na kukiona hicho chama ambacho hata kwenye huo uchaguzi mpaka unakwisha labda hata wamarekani hawakijui. Leta majibu ya maana hapa na mifano tosha.
 
Kabla sijakujibu naomba unisaidie kwa hili moja kampeni za uchaguzi wa marekani huwa za muda gani? Hii link uliyoiweka haisemi kama hiyo mikutano ya hadhara ilifanyika kuanzia mwaka 2012, zaidi zinasema hotuba katika forums mbalimbali na hiyo ndiyo kazi mojawapo ya vyama katika nchi za wenzetu. Hata hivyo hujanijibu swali langu kuhusu mikutano ya hadhara zaidi ya ku point hiki chama kidogo huko marekani. Nimekuwekea mifano hapo juu ya vyama vikuu marekani na UK. Hujanijibu zaidi ulichokifanya ni ku google na kukiona hicho chama ambacho hata kwenye huo uchaguzi mpaka unakwisha labda hata wamarekani hawakijui. Leta majibu ya maana hapa na mifano tosha.
JIBU
campaign za ndani ya chama zinaanza tokea majira ya joto ya mwaka kabla ya uchaguzi...
sasa 2013 kulikuwa na uchaguzi marekani?? Mbona hiko chama cha upinzani kilishaanza kufanya mikutano ya kisiasa na ya wazi vyuo vikuu na maeneo mengine marekani??? .....niachie hapo.
MADA YANGU
Ningekuona wa maana sana kma ungeweka sheria ya vyama vya siasa ya marekani na tanzania afu tuone kma kuna uhalali wa nyie kuzuia mikutano hapa. Kwasababu huwezi lazimisha tutoe mifano kwenye nchi ambayo katiba yake na mfumo wa siasa ni tofauti na kwetu je kma marekani wameelekeza vyama vicampaign kutumia vitabu na articles na video youtube ndo utalinganisha na tz ambako wanoacces internet hawazidi million 20?? Kwanni usitoe mifano kenya na uganda ambao mfumo wao wa uongozi hautofautiana sana na sisi kulinganisha na marekani yenye federal government??
Anyway back to topic
Mkuu unajua kwanni nmetumia transhumanist party??? Coz ndo site pekee kati ya top 5 parties za marekani kilichoandika background nzima ya chama kilipoanza na jinsi mikutano ilivyokisaidia kukijemga na kama unaona wameanza mikutano toka 2013 ya kujenga chama nchi nzima hizo site zingine zimejaa taarifa za uchaguzi tu sasa nmeshindwa kutrace other activities hta kabla ya uchaguzi ila itakapotoka calendar ya shughuli zao kwa mwaka 2017 surely ntakutumia link uone kma hawafanyi public rallies za kujenga chama.
Pia turudi tanzania sasa katiba ya tanzania ni tofauti na marekani huku tanzania katiba haijaweka limit ya kufanya mikutano ya kisiasa iwe kabla ya uchaguzi au baada ya uchaguzi na hta nyerere mwenyewe alipata kusema ''siasa ni barabarani na majukwaani sio ofisini'' sasa nashangaa iweje leo mtu mmoja aamue tu kuwa siasa marufuku wakati sheria ya vyama vya siasa na nishawahi kuiweka humu jf inasema'' VIFANYE MIKUTANO YA KISIASA BILA BUGHUDHA'' ...... sasa ningesupoort magufuli kma angepeleka muswada wa marekebisho wa sheria hii na kwakuwa wabunge wa ccm ni wengi ingepitishwa na hapo angekuwa na uhalali wa kisheria maana jambo lingekuwa lipo kikatiba kabisa...
Sasa to my suprise amevunja sheria nyie mnasupport eti ''TOA MFANO NCHI GANI WANAFANYA SIASA AFTER UCHAGUZI" really?? Na je kuibiwa kura si mtasema tutoe mfano nchi gani africa ambao hawaibi kura?? So 2 wrongs make a right?? Na wwe unajiita great thinker??

Hoja hapa ni kuwa kma ilivyo hicho chama nilichotolea mfano cha marekani kilivyopata nguvu baada ya mikutano ya kisiasa basi na hapa tanzania mtupe uhuru wa kufanya mikutano ya kisiasa ili vyama vidogo pia vijijenge sasa unafkiri vitatoa wapi wanachama na kueleza sera zao kwa wananchi wazielewe??

Unajua kwa wenzetu nchi za nje wanaweza kupiga campaign mitandaoni,tv, je watazania wangapi wana access kwa hivo vitu ?? Kwahyo liwe liwalo usilinganishe tz na marekani toa mifano ya kenya na uganda kote huko huwa nakuta mikutano ya kisiasa kila siku sasa iweje madikteta hamtaki wakati katiba inaruhusu??? Anapata wapi uhalali wa kuzuia?? ACT na chaumma vitakuwaje?? Cuf zitaelezaje sera zake kwa wananchi ambao watumia internet hawazidi milion 20??
 
We are strong and we will be strong till the last drop, no one to fear , no one to regret..... We are moving forward..... M4C forever
 
Back
Top Bottom