bfsam2000
Member
- Nov 2, 2010
- 20
- 7
nimetoka Urambo-Tabora this morning,majority wanalalamika wanataka kadi za uanachama lakini hazipatikani.nimefuatilia ofisi ya wilaya wanasema makao makuu hawajatuma toka kabla ya uchaguzi
Lakini kwa taarifa:kuna madiwani wa3 wa chadema ikiwa ni pamoja na kata ya Urambo mjini
Lakini kwa taarifa:kuna madiwani wa3 wa chadema ikiwa ni pamoja na kata ya Urambo mjini