kaburu mdogo
JF-Expert Member
- Dec 19, 2011
- 567
- 400
Jana nilienda hospitali moja binafsi kupata matibabu kwa kutumia kadi yangu ya Bima. Wakati huo nilipata sms kuwa kadi yangu imetumika na kama sijui nitoe taarifa.
Leo muda huu napata tena taarifa kadi yangu inatumika kwenye hospitali ile ile niliyoenda kupata matibabu wakati mimi nipo nyumbani. Baada ya kuona sms hiyo niliwapiga watu wa Bima kuwapa taarifa juu ya hali iliyojitokeza na kuniambia watalifanyia kazi.
Swali langu ni je, kuna unuhimu wowote wa kwenda kwenye hiyo hospitali na kutoa taarifa/ malalamiko au niawaachie Bima wapambane nao?
Leo muda huu napata tena taarifa kadi yangu inatumika kwenye hospitali ile ile niliyoenda kupata matibabu wakati mimi nipo nyumbani. Baada ya kuona sms hiyo niliwapiga watu wa Bima kuwapa taarifa juu ya hali iliyojitokeza na kuniambia watalifanyia kazi.
Swali langu ni je, kuna unuhimu wowote wa kwenda kwenye hiyo hospitali na kutoa taarifa/ malalamiko au niawaachie Bima wapambane nao?