Mvaa Tai
JF-Expert Member
- Aug 11, 2009
- 6,159
- 4,443
Jamani mimi ni kijana ambaye najisikia vibaya kuendelea kuitwa mwana sisisem, nina kadi ya sisisem na nataka niachane nao nijiunge na CHADEMA, naomba mnisaidie maswali yafuatayo yananitatiza:-
1. Ni lazima niende nikarudishe hii kadi ya sisisem au naweza kuitupa tu then nikachukua ya CHADEMA?
2.Kama nilazima niirudishe hii kadi ya sisisem, Kuna madhara yeyote ninayoweza kuyapata kikazi? kwasababu mimi ni mtumishi wa Serikali inayoongozwa na sisisem na mbaya zaidi mabosi wangu ni makada wa sisisem ambao wanamawasiliano ya karibu na viongozi wa chama. Maana nakumbuka mwaka 1994 Mzee wangu alikuwa sisisem akarudisha kadi yake wakati wa kampeni na akajiunga na NCCR Mageuz na baada ya mwezi mmoja na nusu alihamishwa kikazi kutoka Wizara fulani makao makuu Dsm na akapelekwa Halmashauri ya wilaya ya Mpanda kwenda kuwa desk officer wa kawaida tu na ilimlazimu kuacha kazi maana ilikuwa ngumu kuhamisha familia ambayo alikuwa kaiwekea misingi yoote Dsm.
Plz nishauri.:hug:
1. Ni lazima niende nikarudishe hii kadi ya sisisem au naweza kuitupa tu then nikachukua ya CHADEMA?
2.Kama nilazima niirudishe hii kadi ya sisisem, Kuna madhara yeyote ninayoweza kuyapata kikazi? kwasababu mimi ni mtumishi wa Serikali inayoongozwa na sisisem na mbaya zaidi mabosi wangu ni makada wa sisisem ambao wanamawasiliano ya karibu na viongozi wa chama. Maana nakumbuka mwaka 1994 Mzee wangu alikuwa sisisem akarudisha kadi yake wakati wa kampeni na akajiunga na NCCR Mageuz na baada ya mwezi mmoja na nusu alihamishwa kikazi kutoka Wizara fulani makao makuu Dsm na akapelekwa Halmashauri ya wilaya ya Mpanda kwenda kuwa desk officer wa kawaida tu na ilimlazimu kuacha kazi maana ilikuwa ngumu kuhamisha familia ambayo alikuwa kaiwekea misingi yoote Dsm.
Plz nishauri.:hug: