Kibiashara zaidi
Watu washalipi akila kitu na wanaona kuwaambia watu aise kitu imeahirishwa ni hasara
Ila sijui hasara kwa nani maana kuahirishwa kwa kitu ni kuwa ni kwa muda tuu mambo yataendelea siku nyingine baada ya msiba
na nafikiri waliona wazo lao kuwa ile imetokea mbali na dar hakuna atakayewasikia wakifanya mambo yao
japo kuna ambajo walikata ticket hawakwenda baada ya kupoteza ndugu zao
Watu washalipi akila kitu na wanaona kuwaambia watu aise kitu imeahirishwa ni hasara
Ila sijui hasara kwa nani maana kuahirishwa kwa kitu ni kuwa ni kwa muda tuu mambo yataendelea siku nyingine baada ya msiba
na nafikiri waliona wazo lao kuwa ile imetokea mbali na dar hakuna atakayewasikia wakifanya mambo yao
japo kuna ambajo walikata ticket hawakwenda baada ya kupoteza ndugu zao