KadaMpinzani asema: Mnyika,Mbowe na Slaa tulieni kama maji ya kwenye mtungi !!

angalia maneno mekundu ! Hadi hivi sasa sijaelewa wewe na mwanakijiji mmetumia vigezo gani kujudge outcome ya ninachotaka kuandika wakati hata sijawasilisha ninachotaka kuandika LAKINI NASHANGAA PUU CONCLUSION ZIMEFIKA MEZANI WAKATI HATA KUKU HAJACHUNGUZWA.! mwake humu kweli ? kama maneno yako matatu ya katika hayo maneno mekundu yanavyosema, ungesubiri nifafanue ili muelewe na haikuwa "safi" kwako wewe kufikia uamuzi uliosema wakati hata hujaelewa nini nilichotaka kusema !

kada,
Kama unacho cha kusema kuhusu watu hao, kiseme upesi ili hicho ndicho kijadilike kulingana na ukweli au uongo wake. ulipodokeza tu ulitegemea watu wasichangie wakati umegusa majina yanayoheshimika? Usilaumu wanaotoa mahitimisho yao tayari, maana hata wewe umeanza kwa hitimisho katika dokezo lako.
 
kada,
Kama unacho cha kusema kuhusu watu hao, kiseme upesi ili hicho ndicho kijadilike kulingana na ukweli au uongo wake. ulipodokeza tu ulitegemea watu wasichangie wakati umegusa majina yanayoheshimika? Usilaumu wanaotoa mahitimisho yao tayari, maana hata wewe umeanza kwa hitimisho katika dokezo lako.

Kahangwa unapoteza muda na huyu msema hovyo ? Yuko kazini na tunaye hapa hajawahi kuwa hoja tangia nimuone hapa forum.Kama anabisha alete hoja ambazo amewahi kuchangia zikawaaingia watu maana kila kitu kiko hapa .Nashangaa hata watu wana enda kusoma maandio yake.Mie nimeona nikusaidie tu usipoteze muda .Chunguza hoja za karibuni kama utaona watu makini wamechangia hata mmoja hakuna .Maana yeye na Sad hawana tofauti wameambiwa nendi JF mkawatibuliwe hoja zao lakini bado tupi na tutasimama .
 
Kahangwa unapoteza muda na huyu msema hovyo ? Yuko kazini na tunaye hapa hajawahi kuwa hoja tangia nimuone hapa forum.Kama anabisha alete hoja ambazo amewahi kuchangia zikawaaingia watu maana kila kitu kiko hapa .Nashangaa hata watu wana enda kusoma maandio yake.Mie nimeona nikusaidie tu usipoteze muda .Chunguza hoja za karibuni kama utaona watu makini wamechangia hata mmoja hakuna .Maana yeye na Sad hawana tofauti wameambiwa nendi JF mkawatibuliwe hoja zao lakini bado tupi na tutasimama .

kada,
Kama unacho cha kusema kuhusu watu hao, kiseme upesi ili hicho ndicho kijadilike kulingana na ukweli au uongo wake. ulipodokeza tu ulitegemea watu wasichangie wakati umegusa majina yanayoheshimika? Usilaumu wanaotoa mahitimisho yao tayari, maana hata wewe umeanza kwa hitimisho katika dokezo lako.

Hatuna malaika hapa, ila tuna binadamu wenye nia njema na nchi yetu na watu wake. Kati ya binadamu hao kuna wachache km Mr. Slaa ambao kwa sasa wanaheshimiwa na Watanzania wengi. Mr. Slaa amejitolea na kuweka kifua chake mbele ktk kupambana na ufisadi, nategemea utaunga mkono kwa hilo km unaamaini ufisadi ni adui wa maendeleo yetu.
Punguza mzunguko mrefu wa maneno, tupatie huo upande mwingine wa Mr. Slaa km ulivyoahidi.
Ndugu, ndiyo maana niliwawekea hii link mara moja baada ya Kada kuanzisha thread yake.

...Yap, you said it KadaMpinzani... and you said it with similar persuasion as in this overdue thread:

http://www.jamboforums.com/showthread.php?t=6571&highlight=mafisadi

Nilisema hivyo kwa maoni kwamba, thread hii nayo itakuwa ndefu kama barabara ya kati Bongo, lakini itakuwa na vikwazo kibao njiani kabla ya kufika mwishoni mwa safari, hali safari yenyewe ilikuwa inaanzia Fire na kuishia Ubungo tu. Thread nyingi za ndugu Kada huishia kuongelea mambo ya technicalities za posts humu ndani instead of the substance within the post. Jambo ambalo si baya sana katika ku-maintain forum endelevu, lakini pale linapozidishwa huwa linaboa.

Basi kama nilivyotoa mfano wa hiyo thread juu, ambapo mpaka leo hii hamna aliyetajwa, vivyo hivo thread hii nayo itaweza kabisa kuendelea kwa wiki/miezi kadhaa bila kuona ufisadi ukifichuliwa. Maana Kada at times can really be good katika kupelekesha watu... mmeyaona, tunaishia kujijadili sisi wenyewe instead!! Au badi as if 'out of a blue' mtasikia ufisadi unaotajwa ni wa "kuiba mihogo kwenye shamba la shangazi yake" au "alimnyang'anya au kumkopa mtoto penseli na kutoirudisha" but the story will be hyperbolized beyond limits.
Baadae!
 
Kahangwa unapoteza muda na huyu msema hovyo ? Yuko kazini na tunaye hapa hajawahi kuwa hoja tangia nimuone hapa forum.Kama anabisha alete hoja ambazo amewahi kuchangia zikawaaingia watu maana kila kitu kiko hapa .Nashangaa hata watu wana enda kusoma maandio yake.Mie nimeona nikusaidie tu usipoteze muda .Chunguza hoja za karibuni kama utaona watu makini wamechangia hata mmoja hakuna .Maana yeye na Sad hawana tofauti wameambiwa nendi JF mkawatibuliwe hoja zao lakini bado tupi na tutasimama .

naona you are starting to get comfortable with KadaMpinzani ! Haya...............wewe endelea.Its not easy for me to let such words like yours to let go, but ....mhm.... Nina zawadi yako !
 
Mbowe ajiuzulu`
na dennis luambano

MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Freeman Mbowe, ameombwa kujiuzulu nafasi yake kutokana na kudaiwa na Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF).

Deni analodaiwa ni wastani wa Sh milioni 43 ambalo ni limbikizo la riba la mkopo wa Sh milioni 15 ambao ulichukuliwa mwaka 1990 kwa ajili ya ujenzi wa Hoteli ya Mbowe.

Ombi hilo limetolewa jijini Dar es Salaam hivi karibuni na Mwenyekiti wa Chama cha Social Democratic (SDP) ambacho hakijapata usajili wa kudumu, Nathaniel Mlaki, wakati alipozungumza na MTANZANIA.

“Huu ni ushauri wangu ambao ni kama wa kindugu kwamba namuomba ajiuzulu nafasi yake na awaachie wengine kwa sababu kwa kutokufanya hivyo anakivunjia heshima chama chake.

“Haiwezekani alimbikize deni kwa kipindi cha miaka 17 na awe anakwepa kulipa mpaka suala lake likafikishwa mahakamani, halafu pamoja na kufikishwa huko bado anaendelea kukwepa kulimalizia,” alisema Mlaki.

Alisema kwa kufanya hivyo atakisafisha chama chake na kukifanya kiendelee kuaminiwa na wananchi walio wengi.

“Kashfa hii ni nzito na ili aonekane yeye ni muungwana, basi ajiuzulu nafasi hiyo kama nilivyosema hapo mwanzo na asipojiuzulu, basi CHADEMA itumie katiba yake kumuondoa kwenye nafasi hiyo,” alisema Mlaki.

Alisema kwa kuwa Mbowe ni mpinzani, basi suala hilo linawahusu wapinzani wote na ili wapinzani waendelee kuonekana ni watu makini, hana budi kuuacha wadhifa wake. “Mimi nikiwa kama mpinzani mwenzake na kwa kuutakia upinzani wetu mafanikio, basi kiustaarabu aachie ngazi na kuwaachia wengine waendeleze mapambano hayo, kwa sababu haiingii akilini kusikia mtu aliyewahi kugombea nafasi ya urais leo hii anadaiwa baada ya kukopa fedha za Serikali,” alisema Mlaki.

Alisema leo hii ni aibu kwa Mbowe kusimama kwenye majukwaa ya kisiasa na kuisakama Serikali ya CCM kuhusu mambo ya ufisadi na rushwa huku naye akiwa ni kiongozi anayedaiwa.

Alimtaka Mbowe asilichanganye deni analodaiwa na masuala ya kisiasa kwa sababu kufanya hivyo ni kujitetea pasipo na maana, ilhali ukweli wa kudaiwa kwake uko wazi.
 
Mbowe ajiuzulu`
na dennis luambano

MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Freeman Mbowe, ameombwa kujiuzulu nafasi yake kutokana na kudaiwa na Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF).

Deni analodaiwa ni wastani wa Sh milioni 43 ambalo ni limbikizo la riba la mkopo wa Sh milioni 15 ambao ulichukuliwa mwaka 1990 kwa ajili ya ujenzi wa Hoteli ya Mbowe.

Ombi hilo limetolewa jijini Dar es Salaam hivi karibuni na Mwenyekiti wa Chama cha Social Democratic (SDP) ambacho hakijapata usajili wa kudumu, Nathaniel Mlaki, wakati alipozungumza na MTANZANIA.

“Huu ni ushauri wangu ambao ni kama wa kindugu kwamba namuomba ajiuzulu nafasi yake na awaachie wengine kwa sababu kwa kutokufanya hivyo anakivunjia heshima chama chake.

“Haiwezekani alimbikize deni kwa kipindi cha miaka 17 na awe anakwepa kulipa mpaka suala lake likafikishwa mahakamani, halafu pamoja na kufikishwa huko bado anaendelea kukwepa kulimalizia,” alisema Mlaki.

Alisema kwa kufanya hivyo atakisafisha chama chake na kukifanya kiendelee kuaminiwa na wananchi walio wengi.

“Kashfa hii ni nzito na ili aonekane yeye ni muungwana, basi ajiuzulu nafasi hiyo kama nilivyosema hapo mwanzo na asipojiuzulu, basi CHADEMA itumie katiba yake kumuondoa kwenye nafasi hiyo,” alisema Mlaki.

Alisema kwa kuwa Mbowe ni mpinzani, basi suala hilo linawahusu wapinzani wote na ili wapinzani waendelee kuonekana ni watu makini, hana budi kuuacha wadhifa wake. “Mimi nikiwa kama mpinzani mwenzake na kwa kuutakia upinzani wetu mafanikio, basi kiustaarabu aachie ngazi na kuwaachia wengine waendeleze mapambano hayo, kwa sababu haiingii akilini kusikia mtu aliyewahi kugombea nafasi ya urais leo hii anadaiwa baada ya kukopa fedha za Serikali,” alisema Mlaki.

Alisema leo hii ni aibu kwa Mbowe kusimama kwenye majukwaa ya kisiasa na kuisakama Serikali ya CCM kuhusu mambo ya ufisadi na rushwa huku naye akiwa ni kiongozi anayedaiwa.

Alimtaka Mbowe asilichanganye deni analodaiwa na masuala ya kisiasa kwa sababu kufanya hivyo ni kujitetea pasipo na maana, ilhali ukweli wa kudaiwa kwake uko wazi.

Nathaniel Mlaki is another mercenary.

Alianzisha chama cha SDP kikanyimwa usajili kwa kushindwa kutimiza masharti, mwaka 2005 akagombea ubunge kupitia CHADEMA.

Leo anazungumza tena kama SDP. Nalishangaa gazeti la Habari Corruption ya fisadi Rostam Aziz kwa kumtumia malaya wa uandishi Balille wanaweza kumnukuu huyu.

Gazeti la Mtanzania limekiuka sheria ya vyama vya siasa ambayo inatamka bayana kwamba chama chenye usajili wa muda, hakiruhusiwi kutoa matamko yoyote zaidi ya yale ya kutafuta wanachama wa kukiunga mkono kipate usajili wa kudumu.

Mbaya zaidi ni kuwa SDP hata usajili wa muda hakina; hakuna Tanzania kabisa chama kama hicho hivi sasa iwe chenye usajili wa muda au wa kudumu.

Hii inaonyesha wazi mkakati wa Rostam wa kuokota watu barabarani na kusema kasemeni hiki.

Huyu Nathaniel Mlaki ana hasira binafsi na CHADEMA. Mwaka 2005 alichukua fomu za ubunge akidhani kwamba atapewa mapesa ayatafune. Akanyimwa kwa kuwa alikuwa mgombea feki. Matokeo yake ni kuwa akapata kura chini ya elfu moja(1000). Lakini bado akaandika madai CHADEMA alipwe zaidi ya milioni 30 kwa kupata kura hizo. CHADEMA wakamnyima akaamue kwenda kwenye vyombo vya habari kulalamika kwa kunyimwa fedha kiasi hicho kutokana na ruzuku kwa kuchangia fedha hizo. Wakati kuna wagombea wamepata zaidi ya kura elfu 40 pamoja na kushindwa lakini hawapewi chochote, na wala fedha za ruzuku ya chama sio za kifuta jasho!

Akatoweka kwa muda, akaibuka tena kwenye sakata la mahakama ya kadhi akijiita mwenyekiti wa kamati ya kutetea wakristu. Wakati huo alipewa hongo na kambi ya nje ya mtandao iliyokuwa inataka kichwa cha Ditopile akaanza kuingilia kesi ya Ditto. Lakini pia akapewa mshiko mwingine na kundi lingine apinge mahakama ya kadhi kwa staili ya kummaliza nayo Kikwete.

Waandishi nao bado wanashika kalamu na kumsikiliza. Kwa mwandishi yoyote aliyewahi kukaa karibu na huyu jamaa anajulikana kabisa kuwa una cheti ya matatizo ya akili.

Wengine wameshaanza kumpuuza tayari siku nyingi siku hizi akisema habari haziandikwi- ni Rostam na Ballile na Habari Corruption tu ndio wenye kuweza kutumia mercenaries kama hawa.

Cha kujiuliza, kwanini huyu hajawahi kuzungumzia wadeni wa EPA amekurupuka leo katika deni la milioni 15 la Mbowe ambaye ameshalipa milioni 65, NSSF haijui inamdai bado bei gani na ni yeye mwenyewe kwa hisani yake ndiye ametangaza kwamba anadaiwa milioni 43? Je angesema milioni 65 alizolipa zimeshatosha NSSF wangesemaje? Maana wamesema wenyewe kuwa hawajui anadaiwa bei gani?


Mnajua yaliyomkuta Ballile wiki hii?


Mod Chinga aonywe kwa kujaribu kunisema mimi ndiye Kitila. Kwanza anavunja kanuni kwa kujaribu kutoa ID za watu. Pili, ananizalilisha kijinsia kwa kuniita mwanamke

Asha
 
Yap, i said it !

Mnyika siasa zake kama Mrema, (yupo kwenye siasa kama geresha)
Slaa za kwake ni za kikabila kabila, !
Mbowe (huyu mchafu na uchafu wake hata sijui niuanzie wapi)

Haya wee mwanawane, kaeni mkao wa kula..More info to come !

Tukitaka hii mada iwe tamu zaidi tuwalishanganishe:

Mbowe Vs Kikwete( Wenyeviti wa Vyama)
Slaa Vs Makamba(Makatibu wa Vyama)
Mnyika Vs Nchimbi( Viongozi wa Vijana wa Vyama)

Halafu ndio tujadili ugeresha wao, ukabila wao, uchafu wao- maufisadi yao na uwezo wao wa kiuongozi

Asha
 
Tukitaka hii mada iwe tamu zaidi tuwalishanganishe:

Mbowe Vs Kikwete( Wenyeviti wa Vyama)
Slaa Vs Makamba(Makatibu wa Vyama)
Mnyika Vs Nchimbi( Viongozi wa Vijana wa Vyama)

Halafu ndio tujadili ugeresha wao, ukabila wao, uchafu wao- maufisadi yao na uwezo wao wa kiuongozi

Asha

Wapo watakaosema kwamba hawa hawawezi kunananishwa kwa kuwa wengine wako serikalini wengine hawajawa serikali bado. Lakini kwa kuwa wote ni viongozi wa vyama tuujadili utumishi wao katika vyama vyao jamani

Halafu mwishoni tuseme wakina nani watulie pembeni eti ehhhhhhhhhh

Asha
 
Nathaniel Mlaki is another mercenary.

Alianzisha chama cha SDP kikanyimwa usajili kwa kushindwa kutimiza masharti, mwaka 2005 akagombea ubunge kupitia CHADEMA.

Leo anazungumza tena kama SDP. Nalishangaa gazeti la Habari Corruption ya fisadi Rostam Aziz kwa kumtumia malaya wa uandishi Balille wanaweza kumnukuu huyu.

Gazeti la Mtanzania limekiuka sheria ya vyama vya siasa ambayo inatamka bayana kwamba chama chenye usajili wa muda, hakiruhusiwi kutoa matamko yoyote zaidi ya yale ya kutafuta wanachama wa kukiunga mkono kipate usajili wa kudumu.

Mbaya zaidi ni kuwa SDP hata usajili wa muda hakina; hakuna Tanzania kabisa chama kama hicho hivi sasa iwe chenye usajili wa muda au wa kudumu.

Hii inaonyesha wazi mkakati wa Rostam wa kuokota watu barabarani na kusema kasemeni hiki.

Huyu Nathaniel Mlaki ana hasira binafsi na CHADEMA. Mwaka 2005 alichukua fomu za ubunge akidhani kwamba atapewa mapesa ayatafune. Akanyimwa kwa kuwa alikuwa mgombea feki. Matokeo yake ni kuwa akapata kura chini ya elfu moja(1000). Lakini bado akaandika madai CHADEMA alipwe zaidi ya milioni 30 kwa kupata kura hizo. CHADEMA wakamnyima akaamue kwenda kwenye vyombo vya habari kulalamika kwa kunyimwa fedha kiasi hicho kutokana na ruzuku kwa kuchangia fedha hizo. Wakati kuna wagombea wamepata zaidi ya kura elfu 40 pamoja na kushindwa lakini hawapewi chochote, na wala fedha za ruzuku ya chama sio za kifuta jasho!

Akatoweka kwa muda, akaibuka tena kwenye sakata la mahakama ya kadhi akijiita mwenyekiti wa kamati ya kutetea wakristu. Wakati huo alipewa hongo na kambi ya nje ya mtandao iliyokuwa inataka kichwa cha Ditopile akaanza kuingilia kesi ya Ditto. Lakini pia akapewa mshiko mwingine na kundi lingine apinge mahakama ya kadhi kwa staili ya kummaliza nayo Kikwete.

Waandishi nao bado wanashika kalamu na kumsikiliza. Kwa mwandishi yoyote aliyewahi kukaa karibu na huyu jamaa anajulikana kabisa kuwa una cheti ya matatizo ya akili.

Wengine wameshaanza kumpuuza tayari siku nyingi siku hizi akisema habari haziandikwi- ni Rostam na Ballile na Habari Corruption tu ndio wenye kuweza kutumia mercenaries kama hawa.

Cha kujiuliza, kwanini huyu hajawahi kuzungumzia wadeni wa EPA amekurupuka leo katika deni la milioni 15 la Mbowe ambaye ameshalipa milioni 65, NSSF haijui inamdai bado bei gani na ni yeye mwenyewe kwa hisani yake ndiye ametangaza kwamba anadaiwa milioni 43? Je angesema milioni 65 alizolipa zimeshatosha NSSF wangesemaje? Maana wamesema wenyewe kuwa hawajui anadaiwa bei gani?


Mnajua yaliyomkuta Ballile wiki hii?


Mod Chinga aonywe kwa kujaribu kunisema mimi ndiye Kitila. Kwanza anavunja kanuni kwa kujaribu kutoa ID za watu. Pili, ananizalilisha kijinsia kwa kuniita mwanamke

Asha

Kuniita mwanamke mwanaume yaani jike dume ni matusi makubwa, je ingekuwa ni mama yake Chinga anamwambia maneno hayo angefurahi?

Asha
 
Nathaniel Mlaki is another mercenary.

Alianzisha chama cha SDP kikanyimwa usajili kwa kushindwa kutimiza masharti, mwaka 2005 akagombea ubunge kupitia CHADEMA.

Leo anazungumza tena kama SDP. Nalishangaa gazeti la Habari Corruption ya fisadi Rostam Aziz kwa kumtumia malaya wa uandishi Balille wanaweza kumnukuu huyu.

Gazeti la Mtanzania limekiuka sheria ya vyama vya siasa ambayo inatamka bayana kwamba chama chenye usajili wa muda, hakiruhusiwi kutoa matamko yoyote zaidi ya yale ya kutafuta wanachama wa kukiunga mkono kipate usajili wa kudumu.

Mbaya zaidi ni kuwa SDP hata usajili wa muda hakina; hakuna Tanzania kabisa chama kama hicho hivi sasa iwe chenye usajili wa muda au wa kudumu.

Hii inaonyesha wazi mkakati wa Rostam wa kuokota watu barabarani na kusema kasemeni hiki.

Huyu Nathaniel Mlaki ana hasira binafsi na CHADEMA. Mwaka 2005 alichukua fomu za ubunge akidhani kwamba atapewa mapesa ayatafune. Akanyimwa kwa kuwa alikuwa mgombea feki. Matokeo yake ni kuwa akapata kura chini ya elfu moja(1000). Lakini bado akaandika madai CHADEMA alipwe zaidi ya milioni 30 kwa kupata kura hizo. CHADEMA wakamnyima akaamue kwenda kwenye vyombo vya habari kulalamika kwa kunyimwa fedha kiasi hicho kutokana na ruzuku kwa kuchangia fedha hizo. Wakati kuna wagombea wamepata zaidi ya kura elfu 40 pamoja na kushindwa lakini hawapewi chochote, na wala fedha za ruzuku ya chama sio za kifuta jasho!

Akatoweka kwa muda, akaibuka tena kwenye sakata la mahakama ya kadhi akijiita mwenyekiti wa kamati ya kutetea wakristu. Wakati huo alipewa hongo na kambi ya nje ya mtandao iliyokuwa inataka kichwa cha Ditopile akaanza kuingilia kesi ya Ditto. Lakini pia akapewa mshiko mwingine na kundi lingine apinge mahakama ya kadhi kwa staili ya kummaliza nayo Kikwete.

Waandishi nao bado wanashika kalamu na kumsikiliza. Kwa mwandishi yoyote aliyewahi kukaa karibu na huyu jamaa anajulikana kabisa kuwa una cheti ya matatizo ya akili.

Wengine wameshaanza kumpuuza tayari siku nyingi siku hizi akisema habari haziandikwi- ni Rostam na Ballile na Habari Corruption tu ndio wenye kuweza kutumia mercenaries kama hawa.

Cha kujiuliza, kwanini huyu hajawahi kuzungumzia wadeni wa EPA amekurupuka leo katika deni la milioni 15 la Mbowe ambaye ameshalipa milioni 65, NSSF haijui inamdai bado bei gani na ni yeye mwenyewe kwa hisani yake ndiye ametangaza kwamba anadaiwa milioni 43? Je angesema milioni 65 alizolipa zimeshatosha NSSF wangesemaje? Maana wamesema wenyewe kuwa hawajui anadaiwa bei gani?


Mnajua yaliyomkuta Ballile wiki hii?


Mod Chinga aonywe kwa kujaribu kunisema mimi ndiye Kitila. Kwanza anavunja kanuni kwa kujaribu kutoa ID za watu. Pili, ananizalilisha kijinsia kwa kuniita mwanamke

Asha

that even raises more questions than answers ! huo ni ubaya wa kutumia majina mengi..USHAMWAGA MTAMA MWE' !
 
Tukitaka hii mada iwe tamu zaidi tuwalishanganishe:
Mbowe Vs Kikwete( Wenyeviti wa Vyama)
Slaa Vs Makamba(Makatibu wa Vyama)
Mnyika Vs Nchimbi( Viongozi wa Vijana wa Vyama)

Halafu ndio tujadili ugeresha wao, ukabila wao, uchafu wao- maufisadi yao na uwezo wao wa kiuongozi

Asha

the floor is open mam !
 
that even raises more questions than answers ! asha ni mwanamme au mwanamke ? kakudhalilisha kivipi ?


We kada hebu soma vizuri hapo juu huoni nimesahau neno moja na nikaliongeza jamani? Kuniita mwanamke mwanaume si kitu kizuri jamani.

halafu we nshakwambia tuonane ukakataa. Hebu tuwasiliane kupitia ashabdala@yahoo.com, bado uko Dar es salaam? Nami bado niko mjini, sijaenda Znz. Tuonane tafadhali.

Asha
 
Wapo watakaosema kwamba hawa hawawezi kunananishwa kwa kuwa wengine wako serikalini wengine hawajawa serikali bado. Lakini kwa kuwa wote ni viongozi wa vyama tuujadili utumishi wao katika vyama vyao jamani

Halafu mwishoni tuseme wakina nani watulie pembeni eti ehhhhhhhhhh

Asha

........huh ?.........
 
We kada hebu soma vizuri hapo juu huoni nimesahau neno moja na nikaliongeza jamani? Kuniita mwanamke mwanaume si kitu kizuri jamani.

halafu we nshakwambia tuonane ukakataa. Hebu tuwasiliane kupitia ashabdala@yahoo.com, bado uko Dar es salaam? Nami bado niko mjini, sijaenda Znz. Tuonane tafadhali.

Asha

nipatie namba ya simu ! tuma kwenye PM. nakupigia sasa hivi !
 
the floor is open mam !

Yes Papa

Ukiona maelezo yote yale kuhusu Nathaniel Mlaki umeacha kuyajadili ujue nimekupa ukweli ambao umekuchoma. Hebu kamwambia basi Balille wa Habari Corruption ayaandike kwenye Rostam Aziz International(RAI).

Eti we unampenda Nathaniel Mlaki?

Asha
 
Yes Papa

Ukiona maelezo yote yale kuhusu Nathaniel Mlaki umeacha kuyajadili ujue nimekupa ukweli ambao umekuchoma. Hebu kamwambia basi Balille wa Habari Corruption ayaandike kwenye Rostam Aziz International(RAI).
Eti we unampenda Nathaniel Mlaki?

Asha

heheee, mpenzi umenichekesha ! Kwani huyo Balile before alikuwa anaandika gazeti gani ? Mbona unajigonga mwenyewe, alipokuwa kwenu alikuwa safi, sasa yupo huku basi kawa shubiri eh.....mwaga vitu mupenzi !
 
nipatie namba ya simu ! tuma kwenye PM. nakupigia sasa hivi !

Jamani hivi sasa ukiingia kwenye private message compose mbona siioni? Natumaje PM? Naona reply and forward tu.

Hebu nipatie email yako basi nikutumie namba yangu tuonane jamani.

Mi ni mwanachama wa CHADEMA, najua we ni wa CCM mwenzangu, nitakuuliza vizuri masuala ya ufisadi?

Hivi kwanini kamati kuu ya CCM imejaa watuhumiwa wa ufisadi na wengine wapo kwenye orodha ya fisadi?

Hivi JK butiama ataongoza vipi kikao wakati naye yumo kwenye JK eleven? Hapatakuwa na confict of interest?

Asha
 
heheee, mpenzi umenichekesha ! Kwani huyo Balile before alikuwa anaandika gazeti gani ? Mbona unajigonga mwenyewe, alipokuwa kwenu alikuwa safi, sasa yupo huku basi kawa shubiri eh.....mwaga vitu mupenzi !

Si unajua tena umalaya wa habari? Sasa ni kuwadi wa habari corruption baba.

Hata alipokuwa TZ daima si uliona mambo yake?

Ule unene wake na mashavu makubwa si haba, rizki kila kona. Si unajua wengine si rizki?

Hebu mpigie simu jamani umuulize kilichomkuta wiki hii.

Yani nilikutana na wanahabari wengine, si vicheko hivyo. Mpaka jamaa kakimbilia Bukoba kwa muda

Yani akirudi lazima nimpeleke salun

Asha
 
Back
Top Bottom