Kosa # 1. Sio kila linalosemwa na wengi lina ushahidi na hivyo ungetegemea kiongozi wa kitaifa kama Mbowe kulijuwa hili na kuwa makini.
Sioni haja ya Mbowe kuhojiwa kwa hili, ila kauli zake mara nyingi zinanifanya ni -question uwezo wake wa kuongoza Tz kama rais.
Mwambie fisadi mwenzako kada kuwa huoni sababu ya MBowe kuhojiwa maana inaonekana hamkujipanga vizuri kabla ya kuanzisha thread hii.