Kadampinzani asema: MBOWE AHOJIWE!

Status
Not open for further replies.
Kosa # 1. Sio kila linalosemwa na wengi lina ushahidi na hivyo ungetegemea kiongozi wa kitaifa kama Mbowe kulijuwa hili na kuwa makini.

Sioni haja ya Mbowe kuhojiwa kwa hili, ila kauli zake mara nyingi zinanifanya ni -question uwezo wake wa kuongoza Tz kama rais.

Mwambie fisadi mwenzako kada kuwa huoni sababu ya MBowe kuhojiwa maana inaonekana hamkujipanga vizuri kabla ya kuanzisha thread hii.
 
nakumbuka nilipokuwa darasa la kwanza, siku ya kwanza darasani, kuna dogo nilimsikia akimwambia mwenzake maneno kama hayo uliyosema ! kama utaelewa ninachomaanisha haya ~!

Sasa mkuu kweli naona unataka kurudia la kwanza nafikiri itakuwa vizuri make zile sumu ambazo umeisha meza zitatoka
 
Sasa Mkuu si hao wenye ushahidi wawaambie watanzania?. Wakati mwingine maneno mengine yanasemwa baada ya wahusika kukaa kimya. Si unaona leo na mkapa agalau kanena? mangapi yameisha semwa?

Yote yanatokea kwa sababu viongozi hawataki kutoa majibu sahii pale wanapotakiwa kufanya hivyo. waliniambiwa JKT kuwa ukimuona mtu amekaa kimya hili kupata ukweli mchokonoe. Sasa mbowe alichofanya ni kuchokonoa hili mwenye ukweli basi atwambie tu.

Exactly,

Alichofanya MBowe ni kama wanachofanya Demokrats hapa marekani sasa hivi. Kwa miaka mingi wameshindwa kumpata Rove kwa kesi zingine na sasa wamempata kwenye case ndogo ya kuingilia justice system ya State ya Alabama wakati Rove akiwa mfanyakazi wa White House na sasa wanatumia kila kitu ili kufunua mengine yote.

.... Mfano mwingine, ni namna ambavyo Republicans walimpata Clinton kwenye issue ya Lewsinky, wao walianza na mambo mengine kabisa na hatimaye wakampata kwenye uzinzi (kitu ambacho ndicho walikuwa wanakitafuta kwake).

Katika hili bado nawashauri ccm wamhoji au kumshitaki MBowe ili mafisadi kina Kada na mabosi wao waumbuliwe
 
Unaambiwa mbowe ameongoe ki JF JF huna haja ya kwenda mbali. Polisi hawana muda na mbowe kuna shughuli nyingi zinazomaliza taifa ambazo wanatakiwa washugulikie.

gooooshhhhhhhh ! unamshushia hadhi huyu mwenyekiti ! kama anaongea hivi basi ile kofia anayovaa sidhani kama inamfaa !
 
Mwambie fisadi mwenzako kada kuwa huoni sababu ya MBowe kuhojiwa maana inaonekana hamkujipanga vizuri kabla ya kuanzisha thread hii.

Duh, nimekuwa fisadi tena?....Mgaya kidogo nikuheshimu, kumbe mwenzangu uko kushindana hadi unaingia personal...powa mkuu...nido JF....hii ukishindwa kwa hoja go personal.

For your note, sina kundi lolote JF, nakosoa kila kundi as I see fit
 
Hivi kuna ulazima wakupotosha jamii kwa kisingizio cha KUCHOKONOA? Mungu epushia mbali.

Kupotosha ni wewe na mafisadi wenzako ndio mnajaribu kuwatoa watanzania kwenye vita dhidi ya ufisadi kwa kuigeuza vita dhidi ya MBowe. Kitu ambacho tayari mmeshindwa hapa JF.
 
Duh, nimekuwa fisadi tena?....Mgaya kidogo nikuheshimu, kumbe mwenzangu uko kushindana hadi unaingia personal...powa mkuu...nido JF....hii ukishindwa kwa hoja go personal.

For your note, sina kundi lolote JF, nakosoa kila kundi as I see fit

WEwe ni fisadi tu na posts zako zote zinakuonyesha ukitetea ufisadi na sasa ulidhani umepata sehemu ya kumpondea Mbowe ili kuhamisha attention toka kwenu mafisadi.
 
Kakindomaster,
Watanzania sio wajinga hata siku moja, wakati Kikwete mambo yanamwia magumu wananchi wanaangalia the next move. Sasa kama Mbowe is next lazima awe anaongea mambo yanaoonyesha utashi wa uongozi ambao atakuanao pale atakapo chaguliwa.

Sasa kama leo hii Mbowe anasema kila kiongozi aliekufa kauliwa na viongozi hata pale madaktari wanapothibitisha vinginevyo na kama Mbowe kwa tamaa zake za uongozi yupo tayari kuubadirisha ukweli uliothibitika ni juu ya wananchi kuhoji suitability yake kama rais.

Sina visa na Mbowe, ila maoni yangu binafsi ni kwamba Zitto na yule dogo Mnyika wana nafasi kubwa ya kukifanya Chadema kuwa chama madhubuti...ungozi ni pamoja na kuchagua maneno na vyazo vya habari...jambo ambalo linamshinda Mbowe.....just my opinion

great analysis ! sasa subiri tuone frustrations zikitumotivate !
 
Hayo maswali kawaulize waliosikia Balali kafa wakapata kigugumizi siku tatu nne bila kuwaambia watanzani

Sidhani kama yeye na fisadi mwenzake Kadampinzani walifikiria akili kubwa kama hii. Hongera sana Kakindo master kwa kuwapa mafisadi wanachostahili.
 
Kwani wakati unaanzisha hii ulikuwa namaana gani?

sasa mbona ulianza kushambulia ili hali ulikuwa hujui maana ya hii thread ?

Ni katika kupinga ufisadi, uuliwaji wa mashahidi dhidi ya mafisadi ! naona tunaweza tukawa tunaongea lugha tofauti but still be for the same purpose !
 
gooooshhhhhhhh ! unamshushia hadhi huyu mwenyekiti ! kama anaongea hivi basi ile kofia anayovaa sidhani kama inamfaa !

Basi ukisema hivyo CCM wataisha wote maana nasikia mkuu wa kitengo cha maadili yupo anahojiwa kwa vijisenti. na makamanda wote wa vijana.

Sasa kuongea ki-JF JF kwanza ni sifa kubwa sana
 
sasa mbona ulianza kushambulia ili hali ulikuwa hujui maana ya hii thread ?

Ni katika kupinga ufisadi, uuliwaji wa mashahidi dhidi ya mafisadi ! naona tunaweza tukawa tunaongea lugha tofauti but still be for the same purpose !

Hii thread ulianzisha kwa kudhani umepata cha kumshambulia Mbowe na sasa moto umekuwakia na umegundua kuwa hapa JF ufisadi hauna nafasi.
 
sasa mbona ulianza kushambulia ili hali ulikuwa hujui maana ya hii thread ?

Ni katika kupinga ufisadi, uuliwaji wa mashahidi dhidi ya mafisadi ! naona tunaweza tukawa tunaongea lugha tofauti but still be for the same purpose !

Huyoo anakimbia ukweli wakati anajua kwamba tayari tulikuwa na thread inayozungumzia mbowe.

Mkuu umechoka kufikiri nini?
 
Huyoo anakimbia ukweli wakati anajua kwamba tayari tulikuwa na thread inayozungumzia mbowe.

Mkuu umechoka kufikiri nini?

Utamweza huyo?

Angalia thread zote anazoanzisha karibuni, zote anazielekeza dhidi ya MBowe na hata signature inaonyesha kazi yake anayolipwa na mafisadi kuifanya hapa JF.
 
Utamweza huyo?

Angalia thread zote anazoanzisha karibuni, zote anazielekeza dhidi ya MBowe na hata signature inaonyesha kazi yake anayolipwa na mafisadi kuifanya hapa JF.

Huyu hana uchungu na nchi yetu inaonekana anapoteza muda kuabudu mafisadi tu.
 
Basi ukisema hivyo CCM wataisha wote maana nasikia mkuu wa kitengo cha maadili yupo anahojiwa kwa vijisenti. na makamanda wote wa vijana.

Sasa kuongea ki-JF JF kwanza ni sifa kubwa sana

I luuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuv JF.

Watu wana data hadi inatisha. Mafisadi kina Kadampinzani na wenzake walidhani haya yote ni siri. Mimi ningewashauri tu wabaki na radio Tanzania na TVT kwa propaganda kwani hapa JF ufisadi haupiti.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom