Kada wa CUF auawa Kwimba; Ushabiki wa kisiasa wahusishwa

ntamaholo

JF-Expert Member
Aug 30, 2011
12,906
6,909
Habari JF,
CCM wilayani kwimba, mkoani Mwanza, wameua kwa kumkata mapanga sehemu mbalimbali za mwili wake mtu aitwaye NDULLU MABEJA 50YRS, aliyekuwa ni kampeni manager wa mgombea wa udiwani CUF wakati wa uchaguzi uliofanyika hivi karibuni ulipelekea mgombea wa CCM ambaye mpaka sasa nimenasa jina lake moja la MAJALIWA kushindwa vibaya katika uchaguzi huo.

Tukio hili la kinyama, limetokea katika kijiji cha Mhulya, kata ya Ngula, tarafa ya Ngula wilaya ya Kwimba,, mkoa wa Mwanza.

Majaliwa ametajwa na wakata mapanga waliofika nyumbani kwa marehemu usiku wa manane, wakamkuta NDULLU MABEJA akiwa amelala na mke wake VALENTINA NGAIGE 45YRS na kuanza kumkata mapanga huku wakisema, wao WASILAUMIWE bali alaumiwe Majaliwa aliyekuwa mgombea wa CCM kwa kuwa ndiye aliyewalipa pesa na kuwatuma kuua ili kummaliza kwa kosa la kufanikisha ushindi wa mgombea wa CUF.

CCM wamemwachia mke wa Ndullu ujane na mzigo wa kutunza watoto just kwa uroho wa madaraka.

Chanzo. Mdau aliyesindikiza mke wa marehemu kituoni kutoa taarifa.

Nawasilisha
 
Hatafanywa lolote huyo maana walioua Igunga hadi sasa ni kimya maadamu tu ccm imehusishwa ingekuwa ni cdm ungeshasikia.
 
Habari JF,
CCM wilayani kwimba, mkoani Mwanza, wameua kwa kumkata mapanga sehemu mbalimbali za mwili wake mtu aitwaye NDULLU MABEJA 50YRS, aliyekuwa ni kampeni manager wa mgombea wa udiwani CUF wakati wa uchaguzi uliofanyika hivi karibuni ulipelekea mgombea wa CCM ambaye mpaka sasa nimenasa jina lake moja la MAJALIWA kushindwa vibaya katika uchaguzi huo.

Tukio hili la kinyama, limetokea katika kijiji cha Mhulya, kata ya Ngula, tarafa ya Ngula wilaya ya Kwimba,, mkoa wa Mwanza.

Majaliwa ametajwa na wakata mapanga waliofika nyumbani kwa marehemu usiku wa manane, wakamkuta NDULLU MABEJA akiwa amelala na mke wake VALENTINA NGAIGE 45YRS na kuanza kumkata mapanga huku wakisema, wao WASILAUMIWE bali alaumiwe Majaliwa aliyekuwa mgombea wa CCM kwa kuwa ndiye aliyewalipa pesa na kuwatuma kuua ili kummaliza kwa kosa la kufanikisha ushindi wa mgombea wa CUF.

CCM wamemwachia mke wa Ndullu ujane na mzigo wa kutunza watoto just kwa uroho wa madaraka.

Chanzo. Mdau aliyesindikiza mke wa marehemu kituoni kutoa taarifa.

Nawasilisha

Mafia mkubwa wewe unalala ukiamka unaota mauaji tu, si ungeenda LIBYA ili hasira zako zipungue
 
Hivi wauaji wanaotumwa wanasemaga kabisa nani kawatuma? Tena wakati wa tukio? Curious!

Inaezekana,
1. kama alekutuma humpendi lakini inakubidi kufanya hiyo kazi upate pesa?
2. Labda ni technic ya alekutuma ili kutilia shaka habari za mauaji hayo.
3. Au wauaji kama binadam wengine waliingiwa na huruma ikabidi kumtaja alewatuma.

Ni theory tu.
 
Habari JF,
CCM wilayani kwimba, mkoani Mwanza, wameua kwa kumkata mapanga sehemu mbalimbali za mwili wake mtu aitwaye NDULLU MABEJA 50YRS, aliyekuwa ni kampeni manager wa mgombea wa udiwani CUF wakati wa uchaguzi uliofanyika hivi karibuni ulipelekea mgombea wa CCM ambaye mpaka sasa nimenasa jina lake moja la MAJALIWA kushindwa vibaya katika uchaguzi huo.

Tukio hili la kinyama, limetokea katika kijiji cha Mhulya, kata ya Ngula, tarafa ya Ngula wilaya ya Kwimba,, mkoa wa Mwanza.

Majaliwa ametajwa na wakata mapanga waliofika nyumbani kwa marehemu usiku wa manane, wakamkuta NDULLU MABEJA akiwa amelala na mke wake VALENTINA NGAIGE 45YRS na kuanza kumkata mapanga huku wakisema, wao WASILAUMIWE bali alaumiwe Majaliwa aliyekuwa mgombea wa CCM kwa kuwa ndiye aliyewalipa pesa na kuwatuma kuua ili kummaliza kwa kosa la kufanikisha ushindi wa mgombea wa CUF.

CCM wamemwachia mke wa Ndullu ujane na mzigo wa kutunza watoto just kwa uroho wa madaraka.

Chanzo. Mdau aliyesindikiza mke wa marehemu kituoni kutoa taarifa.

Nawasilisha

Duu hiii kali
 
Chama cha Machinjachinja hamta tawala milele.
Mungu ailaze pema roho ya marehemu

bujibuji tuna kazi ya kufanya, kulalamika haitatusaidia. ueona na sheria ya katiba wanayotaka kuirudisha tena bungeni? kwa mtindo huu tusitegemee uhuru wetu mkuu
 
Inaezekana,
1. kama alekutuma humpendi lakini inakubidi kufanya hiyo kazi upate pesa?
2. Labda ni technic ya alekutuma ili kutilia shaka habari za mauaji hayo.
3. Au wauaji kama binadam wengine waliingiwa na huruma ikabidi kumtaja alewatuma.

Ni theory tu.

umaskini unakufanya uwe mwehu. kile usichokipenda utakifanya na kile unachokipenda hutopata nafasi ya kukifanya, kwani magamba lazima wakunyime nafasi. Kwa mwenye link na polisi W kwimba, atapata maelezo kamili huko
 
Mafia mkubwa wewe unalala ukiamka unaota mauaji tu, si ungeenda LIBYA ili hasira zako zipungue

Umafia wangu uko wapi? kutoa taarifa ya mauaji yaliyotokea na wala siyo tetesi, ni ishu ya kweli? Nahisi wewe umehusika kupanga mauaji hayo. malipo ni hapahapa tu
 
Hivi wauaji wanaotumwa wanasemaga kabisa nani kawatuma? Tena wakati wa tukio? Curious!

inatokea sana tu, kwani mara nyingi wanaotumwa nao huwa hawapendi ila kwa kuwa na ugumu wa maisha they opt to do. Hata hivyo, hizo ni tuhuma zilizoripotiwa kituo cha polisi, mahakama italifanyia kazi na haki itatendeka. Ingawa pia huwa sina na mahakama kwani zote ni mali ya CCM kwa kiasi kikubwa.
 
Wewe uliwaona CCM wanaua? Au ndio propaganda zenu nyie CDM, mnaua nyie halafu mnasingizia CCM.
 
Wewe uliwaona CCM wanaua? Au ndio propaganda zenu nyie CDM, mnaua nyie halafu mnasingizia CCM.

maelezo yako yanaonyesha ulikuwepo wakati wa tukio, tuambie kati ya wewe na ccm hasa nani kaua!!
 
Mm binafsi sina chama,lakini km great thinker,hii tarifa imeandikwa hisia,chuki na haiko neutral!no objectivity..sijawai kuskia muuaji anajitaja zaidi ya yule alshabab aliyehukumiwa kenya..mleta mada ametudanganya.ni mchochezi.
 
hivi hawa waathirika wa vitisho na mauwaji wakiamua kulipiza Tanzania patakalika kweli?
 
Back
Top Bottom