ntamaholo
JF-Expert Member
- Aug 30, 2011
- 12,906
- 6,909
Habari JF,
CCM wilayani kwimba, mkoani Mwanza, wameua kwa kumkata mapanga sehemu mbalimbali za mwili wake mtu aitwaye NDULLU MABEJA 50YRS, aliyekuwa ni kampeni manager wa mgombea wa udiwani CUF wakati wa uchaguzi uliofanyika hivi karibuni ulipelekea mgombea wa CCM ambaye mpaka sasa nimenasa jina lake moja la MAJALIWA kushindwa vibaya katika uchaguzi huo.
Tukio hili la kinyama, limetokea katika kijiji cha Mhulya, kata ya Ngula, tarafa ya Ngula wilaya ya Kwimba,, mkoa wa Mwanza.
Majaliwa ametajwa na wakata mapanga waliofika nyumbani kwa marehemu usiku wa manane, wakamkuta NDULLU MABEJA akiwa amelala na mke wake VALENTINA NGAIGE 45YRS na kuanza kumkata mapanga huku wakisema, wao WASILAUMIWE bali alaumiwe Majaliwa aliyekuwa mgombea wa CCM kwa kuwa ndiye aliyewalipa pesa na kuwatuma kuua ili kummaliza kwa kosa la kufanikisha ushindi wa mgombea wa CUF.
CCM wamemwachia mke wa Ndullu ujane na mzigo wa kutunza watoto just kwa uroho wa madaraka.
Chanzo. Mdau aliyesindikiza mke wa marehemu kituoni kutoa taarifa.
Nawasilisha
CCM wilayani kwimba, mkoani Mwanza, wameua kwa kumkata mapanga sehemu mbalimbali za mwili wake mtu aitwaye NDULLU MABEJA 50YRS, aliyekuwa ni kampeni manager wa mgombea wa udiwani CUF wakati wa uchaguzi uliofanyika hivi karibuni ulipelekea mgombea wa CCM ambaye mpaka sasa nimenasa jina lake moja la MAJALIWA kushindwa vibaya katika uchaguzi huo.
Tukio hili la kinyama, limetokea katika kijiji cha Mhulya, kata ya Ngula, tarafa ya Ngula wilaya ya Kwimba,, mkoa wa Mwanza.
Majaliwa ametajwa na wakata mapanga waliofika nyumbani kwa marehemu usiku wa manane, wakamkuta NDULLU MABEJA akiwa amelala na mke wake VALENTINA NGAIGE 45YRS na kuanza kumkata mapanga huku wakisema, wao WASILAUMIWE bali alaumiwe Majaliwa aliyekuwa mgombea wa CCM kwa kuwa ndiye aliyewalipa pesa na kuwatuma kuua ili kummaliza kwa kosa la kufanikisha ushindi wa mgombea wa CUF.
CCM wamemwachia mke wa Ndullu ujane na mzigo wa kutunza watoto just kwa uroho wa madaraka.
Chanzo. Mdau aliyesindikiza mke wa marehemu kituoni kutoa taarifa.
Nawasilisha