PISTO LERO
JF-Expert Member
- Mar 8, 2011
- 2,819
- 1,454
Kuna mwana chadema aliyepotea katika mazingira ya kutatanisha wakati wa kampeni za chaguzi mdogo arumeru mashariki, allmaarufu kama MATELEPHON,vipi jamani alipatikana? Kama bado ni hata gani zinaendelea kuhakìkisha anapatikana akiwa mzima au mfu? viongozi wetu wa chadema ni hata gani zinaendelea ju ya huyu kamanda na mpambanaji mwenzetu?