ZE NDINDINDI
JF-Expert Member
- Sep 19, 2016
- 1,885
- 4,009
Kada huyo anayependa sana lugha ya malkia ingawa yenyewe haimpendi amepost tena kwa msisitizo mkubwa kuonyesha umahiri wake mara baada ya kujichimbia chimbo kwa muda mrefu akibukua ki english
My dady Trump she missed me hizi lugha zilikuja kwa meli bora kutumia lugha yako kuliko kujifanya mjuaji
Sio hivyo bro kujaribu unajaribu ukiwa na mtu unaemuamini ili akurekebishe in case umeteleza sio unatuma majaribio yako kwa watu 100.Mwanzo mgumu....ila watz tunapenda kukatishana tamaa sana mtu kajaribu mnamcheka.....
Shishi miss Ras SimbaKada huyo anayependa sana lugha ya malkia ingawa yenyewe haimpendi amepost tena kwa msisitizo mkubwa kuonyesha umahiri wake mara baada ya kujichimbia chimbo kwa muda mrefu akibukua ki english
View attachment 654234
Hii lugha ukitaka kuijua uitumie popote cyo pemben na mtu wako wa karibu mana ndo inakupa kujiamin lkn ukichekwa sana mtu mwingne anatokea kuiogopa kabisa kujaribu tena mwisho wa siku tz yetu inakua yamwisho kila cku katika uongeaji wa kizunguSio hivyo bro kujaribu unajaribu ukiwa na mtu unaemuamini ili akurekebishe in case umeteleza sio unatuma majaribio yako kwa watu 100.
Amefanya utani bhna ,huon hata mwishon kuna emoj ya kucheka????My dady Trump she missed me hizi lugha zilikuja kwa meli bora kutumia lugha yako kuliko kujifanya mjuaji