Kwa CCM hayo mawazo mazuri yanaingilia sikio la kushoto yanatokea sikio la kuliaKada maalufu nimekuelewa vizuri sana,
Uzalendo nikusema ukweli kwa haki, bila upendeleo, bila kupepesa macho....maana mficha maradhi kifo humuumbuwa
Hongera sana Mh Mb Selukamba
Umeshindwa hata kusamaraizi alichokisema
Huyo aliemtetea ndio atakuja kumponda kuwa anatumika kuhujumu chama!!
Nisiharibu maneno mazuri yakizalendo ya mh Mbunge Peter Selukamba
Amefunguka kwa haki bila unafiki......
Eti Spika nae anaponda kuunga mkono bajeti Bungeni na kuwataka wabunge wafunguke!!!!!!!!!!!!!!!!
Huyo atakuwa anatetea mabeberu waliojificha private sector in ccm followers voice
Wameshtuka hata vichenji chenji pale ccm vinazidi kupotea vya poshoWalikuwa wanasema ndiyooo sasa wanashituka tunaekea kuzim
Hata mimi pia nimewaza hivyo.Wameanza kujifanya eti wanafunguka kuiponda serikali ya chama chao!!!Mkuu uchaguzi umekaribia sasa wanaanza kurudiwa na akili
Wameshtuka hata vichenji chenji pale ccm vinazidi kupotea vya posho
Hata mimi pia nimewaza hivyo.Wameanza kujifanya eti wanafunguka kuiponda serikali ya chama chao!!!
naona anarusharusha mkia wake kwa fujo, ngoja aje MAMI aukate.