Kada wa CCM jimbo la Ngara, Dr Peter Bujari ametangaza uamuzi wa kujitoa CCM na kujiunga na CHADEMA hivi punde.
Amewaambia wanahabari kuwa CCM imeshindwa kuondoa kero mbalimbali.
Pia amesema amejiunga na CHADEMA kutokana na sera na Uongozi thabiti. na usioyumba wa Mwenyekiti Freeman Mbowe na Katibu Mkuu Dr Wilbroad Slaa.
Source:Mwananchi Breaking News.
Amewaambia wanahabari kuwa CCM imeshindwa kuondoa kero mbalimbali.
Pia amesema amejiunga na CHADEMA kutokana na sera na Uongozi thabiti. na usioyumba wa Mwenyekiti Freeman Mbowe na Katibu Mkuu Dr Wilbroad Slaa.
Source:Mwananchi Breaking News.