pilipili kichaa
JF-Expert Member
- Sep 3, 2013
- 17,660
- 13,719
Gambo ni tatizo na hafai!
RCWhich one among the two?
Ubunge unaongeza fursa za uongozi wa nchi.Gambo hajaridhika na Ukuu wa mkoa anataka ubunge....... Enzi za Nyerere angekosa vyote!
I met this guy once, first impression nikadhani ni mtu smart alivyozidi kuongea nikazidi kumdharau, he is very ignorant actually.
Gambo hajaridhika na Ukuu wa mkoa anataka ubunge....... Enzi za Nyerere angekosa vyote!
Huyo RC ana usafi gani kamanda?Arusha haijawahi kuwaacha ccm salama.
Bora wamwombe Monaban angalao. Huyo Gambo anawaingiza chaka
Huko tweeter kuna shutuma Gambo anamkingia kifua mtuhumiwa wa ubakaji, kisa tu mbakaji anamsaidia sana kuoata kura za ndani ya chama ika aoate nafasi ya kugombea ubunge!!??? Sa sijui ndo wanataka kumchafua tu huyu dogo Gambo au ni kweli?? Machalii ya Ara nnini?
Gambo ni mshenzi hamjui tu.Umeamua kufungua ID mpya! Tangu Jana unahangaika kutafta namna ya kumchafua RC GAMBO!
Huyu atakuwa ni mmoja wa mahasimu wa Gambo. Siasa hizi......Umeamua kufungua ID mpya! Tangu Jana unahangaika kutafta namna ya kumchafua RC GAMBO!
Hahaha una matatizo ya akili, mimi ni mtanzania pure, mama baba babu bibi wote watanzania, kuishi nje haimaanishi nipo Kenya au nimezaliwa Kenya. We unahisi tofauti na Tanzania nchi nyingine ni Kenya tu? Haha kilazaWewe kahangaike nna Mambo yenu ya huko Kenya, ya kwetu tuachie wenyewe
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha una matatizo ya akili, mimi ni mtanzania pure, mama baba babu bibi wote watanzania, kuishi nje haimaanishi nipo Kenya au nimezaliwa Kenya. We unahisi tofauti na Tanzania nchi nyingine ni Kenya tu? Haha kilaza
Alafu utakuta dem mwenyewe Ana msambwandaUkute wanagombania mwanamke kutuchosha ttu!
Ndiyo shida ya kuongozwa na watoto.Ukute wanagombania mwanamke kutuchosha ttu!
Nimekublock sipendi ujinga mimi. Stupid
Hapa wanaongelewa watu wawili, unayemsema wewe ni yupi?I met this guy once, first impression nikadhani ni mtu smart alivyozidi kuongea nikazidi kumdharau, he is very ignorant actually.
RC