Kachai katamu

Mshana Jr

Platinum Member
Aug 19, 2012
269,632
697,606
Matayatisho

Iliki ,tangawizi ya kusaga ,majani ya chai , maziwa na maji na sukati

Jinsi ya kuitengeneza

Ni rahisi sana ufundi ni kidogo
Chemsha maji yachemke kabisa kama robo lita hivi ongeza vikombe viliwi vya maziwa kisha iliki 5 au 6 ,ongeza tangawizi kijiko kidogo majani kiasi na sukari.

Chemsha kwa dakika 5 tena ipua chuja weka kwenye thermos.

Tafuta mahali penye upepo tulivu Enjoy kachai kako katamu
 
umenichekesha sn we jamaa. yaani umenifanya nimuombe wife aniandalie hako kachai. nmempa ujumbe wako ausome naye akacheka sn. nakunywa chai hakiyanani bila kupanga. asante sn
 
Umeshawahi kujaribu chai ya kukaanga sukari?

Tamu sana, haswa ukiweka na tangawizi mbichi kidogo.
 
Kama haka ?
 

Attachments

  • 1396445226230.jpg
    1396445226230.jpg
    60.5 KB · Views: 409
Back
Top Bottom