Baba Joseph17
JF-Expert Member
- Jul 15, 2013
- 9,518
- 9,721
Sema Serikali ya Mwinyi acha kupotosha.JPM alitengenezewa jimbo na serikari ya Mkapa.
Sema Serikali ya Mwinyi acha kupotosha.JPM alitengenezewa jimbo na serikari ya Mkapa.
Jimbo lisingegawanywa yawezekana mkemia asingekua alipo sasaaMnamo mwaka 1985,Mwalimu wa kemia wa shule ya sekondari Sengerema JOHN POMBE MAGUFULI aligombea ubunge wa Jimbo la biharamulo akichuana na mkulima PHARES KABUYE (wote CCM). PHARES KABUYE alishinda na kutangazwa kuwa mbunge JOHN POMBE MAGUFULI akarudi Sengerema kuendelea na majukumu yake ya kila siku ya ualimu (alirudi kufundisha
Mnamo mwaka 1990 Mwalimu JOHN POMBE MAGUFULI alichuana Tena na mkulima PHARES KABUYE kwa mara ya pili. PHARES KABUYE alimshinda tena JOHN POMBE MAGUFULI akafanikiwa kukitetea kiti chake
Mnamo mwaka 1995,wakati wa uchaguzi mkuu wa kwanza wa vyama vingi, Jimbo la biharamuro liligawanywa kwa kupatikana majimbo mawili (Biharamulo mashariki na Biharamulo magharibi. PHARE KABUYE aligombea ubunge wa Jimbo la biharamulo magharibi akashinda. JOHN POMBE MAGUFULI nae aligombea ubunge wa Jimbo la biharamulo mashariki na akashinda kwa mara ya kwanza baada ya mpinzani wake wa muda mrefu kwenda kugombea ktk Jimbo la biharamulo magharibi.
PHARES KABUYE alikwenda kuhamia T.L.P aligombea na kushinda kuwa mbunge pekee wa chama hicho kabla ya kufariki kwenye ajali ya Basi mwaka 2009,mkoani MOROGORO.
Baadae Jimbo la biharamulo mashariki lilibadilishwa jina na kuitwa JIMBO LA CHATO chini mheshimiwa Mwalimu JOHN POMBE MAGUFULI mbunge wa Jimbo Hilo.
View attachment 1107221
Britanicca
Uko sahihii mkuuIla nadhani yule alikua ni wa Kigoma kama kumbukumbu zangu ziko sawa. Hili la wakulima wenzake wa korosho litakua limemuumiza sana kwa kweli.
Kumbe ni mpambanaji toka siku nyingi. Mungu kama amekuchagua lazima utashinda tu. Huyooo sasa ni Rais wa JMT!!Mnamo mwaka 1985,Mwalimu wa kemia wa shule ya sekondari Sengerema JOHN POMBE MAGUFULI aligombea ubunge wa Jimbo la biharamulo akichuana na mkulima PHARES KABUYE (wote CCM). PHARES KABUYE alishinda na kutangazwa kuwa mbunge JOHN POMBE MAGUFULI akarudi Sengerema kuendelea na majukumu yake ya kila siku ya ualimu (alirudi kufundisha
Mnamo mwaka 1990 Mwalimu JOHN POMBE MAGUFULI alichuana Tena na mkulima PHARES KABUYE kwa mara ya pili. PHARES KABUYE alimshinda tena JOHN POMBE MAGUFULI akafanikiwa kukitetea kiti chake
Mnamo mwaka 1995,wakati wa uchaguzi mkuu wa kwanza wa vyama vingi, Jimbo la biharamuro liligawanywa kwa kupatikana majimbo mawili (Biharamulo mashariki na Biharamulo magharibi. PHARE KABUYE aligombea ubunge wa Jimbo la biharamulo magharibi akashinda. JOHN POMBE MAGUFULI nae aligombea ubunge wa Jimbo la biharamulo mashariki na akashinda kwa mara ya kwanza baada ya mpinzani wake wa muda mrefu kwenda kugombea ktk Jimbo la biharamulo magharibi.
PHARES KABUYE alikwenda kuhamia T.L.P aligombea na kushinda kuwa mbunge pekee wa chama hicho kabla ya kufariki kwenye ajali ya Basi mwaka 2009,mkoani MOROGORO.
Baadae Jimbo la biharamulo mashariki lilibadilishwa jina na kuitwa JIMBO LA CHATO chini mheshimiwa Mwalimu JOHN POMBE MAGUFULI mbunge wa Jimbo Hilo.
View attachment 1107221
Britanicca
Huyu atakuwa amechanganya madesa mkuuDar ni mkoa wa mpakani na pembezoni ikipakana na nchi gani?.
P
And what do you rate your performanceJiwe actually ni average performer all his life....
Everything kwake ni kama accident tu!
Uko makini mkuu!!! Hao ndio hawahawa tume hawajawahi kubadilika ama si hivyo "huyu na yule si mmoja"!"Magufuri"!
No hajachanganya madesa, bali hawa watu hizo ndizo akili zao!.Huyu atakuwa amechanganya madesa mkuu
Biharamulo iligawanywa lini?Sema Serikali ya Mwinyi acha kupotosha.
Tunaangalia majukumu aliyopewa na kwa kiasi gani kayatimiza kwa kuangalia performance indicators...And what do you rate your performance
Huyo ndio alimbeba hata 2015.JPM alitengenezewa jimbo na serikari ya Mkapa.
HahahaSipati picha ya hiyo mikong'oto ambayo hao wanafunzi wa hilo darasa waliyokuwa wanaipata. Ni lazima walikuwa wanaomba kumaliza shule haraka.
Nchi ya zenj lile koloni la CCMDar ni mkoa wa mpakani na pembezoni ikipakana na nchi gani?.
P
Sio HarafuAcha kuandika ujinga Mzee .kuna mbunge anaitwa amatory choya kasazi 1995_ 2005
Harafu sio biharamuro no biharamulo una bifu na JPM nini