jsenyinah
JF-Expert Member
- Jan 25, 2012
- 249
- 338
Iringa ina raha yake bhana. Iringa mji mtamu sana.
Ukiwa Iringa mjn,bar inayoitwa MIAMI,ukikaaa kule juu makutini,ukitazama nje agharabu unaona kaburi la marehemu huyo tajwa hapo juu.
Na huwa watu wakishalewa (soda au vilevi) TU,huwa wanapenda sana kutazama hilo kaburi na wakishaliona tu,mioyo yao huswazika sana, wanapata amani, utii, uvumilivu na unyenyekevu mbele za Mungu.
Naomba tujadili yamkini.
Ukiwa Iringa mjn,bar inayoitwa MIAMI,ukikaaa kule juu makutini,ukitazama nje agharabu unaona kaburi la marehemu huyo tajwa hapo juu.
Na huwa watu wakishalewa (soda au vilevi) TU,huwa wanapenda sana kutazama hilo kaburi na wakishaliona tu,mioyo yao huswazika sana, wanapata amani, utii, uvumilivu na unyenyekevu mbele za Mungu.
Naomba tujadili yamkini.