Faana
JF-Expert Member
- Dec 12, 2011
- 31,821
- 33,204
Chuki mbaya sana, kuna wakati watu walisema vibaya kuwa kaburi limo ndani ya kibanda cha bati kwakuwa marehemu alichukiwa
Chuki mbaya sana, kuna wakati watu walisema vibaya kuwa kaburi limo ndani ya kibanda cha bati kwakuwa marehemu alichukiwa
Corona oyeeeeee.aibu imetua ufipani.
Kama shaka aliyeolewa na Salim mpelembwe huko Tanga????Lisu ni shetani anayetembea
INALILLAH WAINAILAIH RAJIUUN.Kiburi, ujeuri,nyodo,kujiona wewe ndio wewe,ujuwaji mwingi,umungu mtu mwisho hapo.
Wakati unabadilika mkuu!!! Alikuwa kwa mkapa na kwa JPM alikuwaje?Nadhani hujui historia ya lisu na kutetea Madini kuchimbwa na wazungu.
Kasome harakati za Lisu kuhusu Madini kipindi cha Mkapa
Kifo hakiepukiki ni lazima tu kwa kila mtu utake usitake, ila kilema sio lazima kila mtu apate. Hivi unajua Lissu kapata ulemavu wa kudumu na mwisho wa siku Mungu atamuuwa pia Lissu kama alivyofanya Magufuli?Lazima nitakufa kwa mipango ya Mungu ila sio kama hilo li gaidi limarehemu lenu lilivotaka kumuua lisu .
Mungu akaamua kuliua lenyewe kwanza.
Namuomba Mwenyezi Mungu aendelee kulichoma moto huko jehanamu lilipo milele
Huyo dhalimu amelipwa stahiki na matendo yake, hakika nchi imetulia sasa.Kifo hakiepukiki ni lazima tu kwa kila mtu utake usitake, ila kilema sio lazima kila mtu apate. Hivi unajua Lissu kapata ulemavu wa kudumu na mwisho wa siku Mungu atamuuwa pia Lissu kama alivyofanya Magufuli?
Bashite yupo mzima , nenda kafungue kesiHuyu Farao afukuliwe ajibu hoja na si kutuma akina Bashite kuwapiga risasi akina Lissu
Lissu aliyetiwa kilema cha maisha amelipwa kwa kosa gani hadi akatiwa hicho kilema? Kifo wanakufa hadi watoto wadogo wasio na dhambi kwahiyo kama kifo ni adhabu basi adhabu hiyo hakuna wa kuikwepa.Huyo dhalimu amelipwa stahiki na matendo yake, hakika nchi imetulia sasa.
Kupiga magoti isikisumbue kabisa kudhani anapigia magoti kaburi; wakatoliki wanaposali sala nyingi hutakiwa kupiga magoti. Ni sala chache sana za kikatoliki zisizohitaji mtu kupiga magoti. Nadhani huyo aliyepiga magoti ni mkatoliki na huenda anasali sala ya kuwaombea wafu.Huyo aliyepiga magoti ni Nani?
Matukio hayo huwezi kuyasikia sahiviYah, somehow! Kuteka kuua, kupora fedha za watu,
Huo ndio udhalimu wa mwendazake ambao kamwe hautasahaulikaLissu aliyetiwa kilema cha maisha amelipwa kwa kosa gani hadi akatiwa hicho kilema? Kifo wanakufa hadi watoto wadogo wasio na dhambi kwahiyo kama kifo ni adhabu basi adhabu hiyo hakuna wa kuikwepa.
MATAGA pori akili zenu zipo Mata -corn hapo limejengwa Kwa Kodi za watanzania acha Ujinga Hizo Hela hazijatolewa LUMUMBA pale ni Kodi za wananchi bila kujali chama chochote ndio zimasaidia kumsitiri Mwendazake rais kipenzi wa sisi wanyonge wa Nchi hii ilikua ni lazima asitiriwe vizuri sababu Alikua Rais wetu huyoKaburi zuri kuliko ofisi za ufipa
yaani shukuru hata Hao waliodhihaki maana ndio waliofanya mchakato wa ujenzi kukamilika haraka siku zote katika maisha maneno ya kejeri ya wapinzani wako ukiyachukulia Kwa faida hutapata tabu sababu hayatakuua ila yatakufanya urekebishe unapokosea na kusonga mbele,Chuki mbaya sana, kuna wakati watu walisema vibaya kuwa kaburi limo ndani ya kibanda cha bati kwakuwa marehemu alichukiwa
Wampingao ni wajinga? Asipingwe kwanini? Wewe una uerevu gani? Maurembo yana faida gani?Kuna wale wapuuzi walosema eti kaburi lipo kwenye banda, niliwambia muwe wapole kuna mjengo una shushwa pale.
Sikutaka kuweka hapa picha nilitaka mzitafute wenyewe.
Sasa vipi hela ya serikali haijawauma? Rais jpm ana heshima zake duniani kote sema wajinga tu ndo wanapinga hadi leo.😏😏
Ujenzi unaendelea kwa nje kuna kitu kinatengenezwa sio kila mjinga mjinga anaingia hovyo. Itakuwa tiyari soon kabla ya kumaliza matanga mwakani.