The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,108
- 115,842
Watu waliowahi kufanya kazi BOT wanajua kuwa
kila ikifika kipindi cha kubadili Rais...kuna pesa zinapigwa
Wakati Mwinyi anaondoka mwaka 1995 BOT watu 'walipiga pesa'
zilikuwepo story za watu kuondoka na magazeti BOT wakaenda kukata wenyewe
majumbani mwao...
Mwaka 2005 ikaja EPA...upigaji mwingine style tu ndo tofauti
halafu ikaja ya mwaka 2015 Escrow....ni kama utaamaduni
watu wamejiwekea wa kupiga hela na kugawana Rais anapomaliza mda wake...
Magufuli alisema hatafukua makaburi ajabu hili kaburi kaanza kulifukua
Kwa jinsi ambavyo Escrow inamgusa karibu kila mtu ndani ya CCM
na hata Taasisi za dini.....swali la kujiuliza je Magufuli ataliweza hili kaburi?
au atatafuta njia fupi tu ya kulimaliza bila kugusa 'wenyewe'?
kila ikifika kipindi cha kubadili Rais...kuna pesa zinapigwa
Wakati Mwinyi anaondoka mwaka 1995 BOT watu 'walipiga pesa'
zilikuwepo story za watu kuondoka na magazeti BOT wakaenda kukata wenyewe
majumbani mwao...
Mwaka 2005 ikaja EPA...upigaji mwingine style tu ndo tofauti
halafu ikaja ya mwaka 2015 Escrow....ni kama utaamaduni
watu wamejiwekea wa kupiga hela na kugawana Rais anapomaliza mda wake...
Magufuli alisema hatafukua makaburi ajabu hili kaburi kaanza kulifukua
Kwa jinsi ambavyo Escrow inamgusa karibu kila mtu ndani ya CCM
na hata Taasisi za dini.....swali la kujiuliza je Magufuli ataliweza hili kaburi?
au atatafuta njia fupi tu ya kulimaliza bila kugusa 'wenyewe'?