figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,492
- 54,890
Kaburi la Yustine Ndugai, baba mzazi wa Spika Ndugai limefukuliwa ili mabaki yakazikwe upya Kijiji cha Ibagwe, Kongwa Dodoma.
My Take:
Haya mambo yanawezwa kufanywa labda kutokana na uwezo wa Familia, lakini inakumbusha machungu na ni kumsumbua Marehemu.
My Take:
Haya mambo yanawezwa kufanywa labda kutokana na uwezo wa Familia, lakini inakumbusha machungu na ni kumsumbua Marehemu.