Mr. Bigman
JF-Expert Member
- May 7, 2011
- 2,560
- 1,299
Hivi si walisema hawafukui makaburi? ,( in Pombe's voice) Sasa inakuwaje tena
Tumeambiwa tusifukue makaburi jamani tuyaache!!!!!!!Kwa ambae yuko Dodoma na anamkumbuka aliyekuwa mhandisi wa maji wa mkoa huo aliyekuwa kuwa anaitwa Eng Peter Mokiwa kwa sasa ni marehemu nae alifanya hivyo,but ndani ya miaka mi2 nae akafariki na mwanae siku 1.
Inawezekana mzimu inamchanganya ndugai ndyo maana anaonekana kma kuna kabolt kamekatika