Ijue historia ya kaburi la Sharif Abdushakur Salim Al Attas lililopo Samora, Posta Jijini Dar es Salaam

Kuna baadhi ya vitu aviguswi vitaachwa kama vilivyo mfano ile aya ya quran kwenye mlango wa Ikulu
 
Kuna baadhi ya vitu aviguswi vitaachwa kama vilivyo mfano ile aya ya quran kwenye mlango wa Ikulu
Kuna Aya ya kuranu kwenye ikulu?? inasemaje..??
Au ndo inasema ccm milele daima??
Nani aliandika hiyo aya hapo?? au ni yule mtume asiye jua kusoma na kuandika aliyekuwa anaowa watoto wa miaka 10 ...
 
Kuna Aya ya kuranu kwenye ikulu?? inasemaje..??
Au ndo inasema ccm milele daima??
Nani aliandika hiyo aya hapo?? au ni yule mtume asiye jua kusoma na kuandika aliyekuwa anaowa watoto wa miaka 10 ...
Ikulu ya Magogoni ilikuwa madrasa.. wajerumani wakaipora
 
JMoo ndo jengo gani? Mi nnavyojua JMoo ni jina la msanii wa HipHop Tanzania. Hilo jengo ni J. Mall. Usichanganye Tui na Maziwa siku nyingine.
Asante kwa kunielewa.
Ungemalizia kwa kumshusia kwenzi kabisa😆😆😆😆
 
Kumbe kuna aya ya shetani ikulu ndio maana nchi haiendelei na ufisadi umetamalaki.
Unajua maana yake ? Hayo maandishi Kwani ulijenga wewe hiyo ikulu ... Aliyejenga ndiye aliyeweka
 
Back
Top Bottom