Kabudi: Hatutaongeza mishahara na posho za kazi kwa muda wa ziada hazitakuwepo

cutelove

JF-Expert Member
Oct 3, 2017
3,317
7,509
Akihutubia baraza la wafanyakazi wa wizara ya mambo ya nje na ushirikiano wa Afrika Mashariki ,waziri Kabudi kwa sasa serikali haina mpango wa kuongeza mshahara kwa mwaka mmoja na pia posho za muda wa ziada zimeondolewa hivyo wafanyakazi hao wafunge mikanda

Amesema kwa sasa serikali imeelekeza kutafuta fedha kwa ajili ya miradi ya maendeleo ambayo inafahamika kwa sasa

Amesema serikali inaangalia maendeleo ya watu kwa miaka 100 ijayo hivyo hawawezi kujikita kwenye posho na mishahara ya wafanyakazi

My take kwa kauli hii ya waziri Kabudi ,nyongeza ya mishahara (Annual increments) na posho mtazisikilizia kwa majirani

Wafanyakazi Tanzania acheni uvivu wa kudai maslahi yenu,miaka kumi mpo pale pale.

Na hapa kuna wafanyakazi utawakuta wakimsifia jiwe hatari

Poleni again wafanyakazi Tanzania

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Akihutubia baraza la wafanyakazi wa wizara ya mambo ya nje na ushirikiano wa Afrika Mashariki ,waziri Kabudi kwa sasa serikali haina mpango wa kuongeza mshahara kwa mwaka mmoja na pia posho za muda wa ziada zimeondolewa hivyo wafanyakazi hao wafunge mikanda

Amesema kwa sasa serikali imeelekeza kutafuta fedha kwa ajili ya miradi ya maendeleo ambayo inafahamika kwa sasa

Amesema serikali inaangalia maendeleo ya watu kwa miaka 100 ijayo hivyo hawawezi kujikita kwenye posho na mishahara ya wafanyakazi

My take kwa kauli hii ya waziri Kabudi ,nyongeza ya mishahara (Annual increments) na posho mtazisikilizia kwa majirani

Wafanyakazi Tanzania acheni uvivu wa kudai maslahi yenu,miaka kumi mpo pale pale.

Na hapa kuna wafanyakazi utawakuta wakimsifia jiwe hatari

Poleni again wafanyakazi Tanzania

Sent using Jamii Forums mobile app
Miaka 100 ijayo na hii corona?!
 
He has spoken what was in my head,nchi haiwezi kupoteza mamilioni ya pesa kuwafurahisha watanzania million moja huku RAIA million 50 wakiteseka,nakama mtumishi anaona utumishi kwake ni ngumu pasina nyongeza ni bora akaacha kazi,serikali ya awamu ya tano imejikita katika kuhakikisha RAIA wote wa Tanzania wananufaika na rasilimali za nchi na si kwa Government workers tu.

Viva serikali ya awamu ya tano kwa kuleta usawa huu,every citizen must participate in building his/her nation

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyo ni Prof. Kabudi, mambo ya mishahara hayamuhusu sana. Tunamsubiri Dr. Mpango na kisha baadaye Mh. Rais Dr. JPJ Magufuli. Relax, Mkuu.
Hilo lilishapangwa labda kwenye kikao cha baraza la mawaziri ,Hatuongezi mishahara na hakuna posho,kila waziri afikishe ujumbe kwa wafanyakazi wa wizara yake,

Mkuu acha kusubiri matamko mengine hiyo imetoka

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Akihutubia baraza la wafanyakazi wa wizara ya mambo ya nje na ushirikiano wa Afrika Mashariki ,waziri Kabudi kwa sasa serikali haina mpango wa kuongeza mshahara kwa mwaka mmoja na pia posho za muda wa ziada zimeondolewa hivyo wafanyakazi hao wafunge mikanda

Amesema kwa sasa serikali imeelekeza kutafuta fedha kwa ajili ya miradi ya maendeleo ambayo inafahamika kwa sasa

Amesema serikali inaangalia maendeleo ya watu kwa miaka 100 ijayo hivyo hawawezi kujikita kwenye posho na mishahara ya wafanyakazi

My take kwa kauli hii ya waziri Kabudi ,nyongeza ya mishahara (Annual increments) na posho mtazisikilizia kwa majirani

Wafanyakazi Tanzania acheni uvivu wa kudai maslahi yenu,miaka kumi mpo pale pale.

Na hapa kuna wafanyakazi utawakuta wakimsifia jiwe hatari

Poleni again wafanyakazi Tanzania

Sent using Jamii Forums mobile app
Na kuna wafanyakazi wanakatwa fedha kwaajili ya vyama vya wafanyakazi sijui kwaajili ya nini?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Akihutubia baraza la wafanyakazi wa wizara ya mambo ya nje na ushirikiano wa Afrika Mashariki ,waziri Kabudi kwa sasa serikali haina mpango wa kuongeza mshahara kwa mwaka mmoja na pia posho za muda wa ziada zimeondolewa hivyo wafanyakazi hao wafunge mikanda

Amesema kwa sasa serikali imeelekeza kutafuta fedha kwa ajili ya miradi ya maendeleo ambayo inafahamika kwa sasa

Amesema serikali inaangalia maendeleo ya watu kwa miaka 100 ijayo hivyo hawawezi kujikita kwenye posho na mishahara ya wafanyakazi

My take kwa kauli hii ya waziri Kabudi ,nyongeza ya mishahara (Annual increments) na posho mtazisikilizia kwa majirani

Wafanyakazi Tanzania acheni uvivu wa kudai maslahi yenu,miaka kumi mpo pale pale.

Na hapa kuna wafanyakazi utawakuta wakimsifia jiwe hatari

Poleni again wafanyakazi Tanzania

Sent using Jamii Forums mobile app
Mfanyakazi anaemsifia jiwe hajitambui tu

Sent using Jamii Forums mobile app
Huyo ni Prof. Kabudi, mambo ya mishahara hayamuhusu sana. Tunamsubiri Dr. Mpango na kisha baadaye Mh. Rais Dr. JPJ Magufuli. Relax, Mkuu.
Kwani kuna shida gani? Maana wakati anaingea hayo yote alikuwa akishangiliwa kwa nguvu na wafanyakazi husika.
 
Huyo ni Prof. Kabudi, mambo ya mishahara hayamuhusu sana. Tunamsubiri Dr. Mpango na kisha baadaye Mh. Rais Dr. JPJ Magufuli. Relax, Mkuu.
Labda huyo mwingine Mipango alishasema hakuna nyongeza hela zinaenda kwenye uchaguzi Na miradi.
 
Back
Top Bottom