Mwanamageuko
JF-Expert Member
- Oct 31, 2010
- 8,602
- 5,569
Koroshow.. mbaazi... makinikia... udart... sgr... epz... na... na... na...Kabisa Mkuu wameshakuwa wajanja wa kutuzuga na lugha zao tamu tamu huku wakikwepa uwajibikaji wao kwa miaka chungu nzima sasa. Hizi korosho hadi leo hii hazijauzwa nani atawajibika?
Kama si homa kuna kuumwa kichwa...
Mungu atusaidie...