Kabudi, Gavana wakaliwa kooni

Kabisa Mkuu wameshakuwa wajanja wa kutuzuga na lugha zao tamu tamu huku wakikwepa uwajibikaji wao kwa miaka chungu nzima sasa. Hizi korosho hadi leo hii hazijauzwa nani atawajibika?
Usishangae kuona kwamba uchaguzi ujao Jiwe akapata kura nyingi kutoka huko kuliko maeneo mengine ya nchi. Kilangila.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Katika ule mchakato sikutegemea kabisa apite. Na wengi tulijua jamaa ni bomu sana, lakini haya maovu yake mengine na udikteta hatukuvijua kabisa. Kikwete na Mkapa wametuletea balaa kubwa sana nchini.
Hata wao wanajuta. Kilangila.
 
Wale wauza korosho Alibaba wamefeli kumbe!duh

Kile kikampuni hadi wakenya wenyewe walikuwa wanashangaa kimepata vp deal la hela ndefu vile wakati hakina hata physical address.
 
Jamaa jiwe anaongoza kwa jazba, korosho tu amefeli vibaya sana, amebaki kukomaa na wamamchinga, hivi kweli nchi inayotaka kujikita kwenye uchumi wa viwanda kipaumbile kitakuwa wamamchinga badala ya kilimo? CCM ni laana kwa watatnzania.
 
Najiuliza kila siku kwani miaka yote hiyo nchi hii ilikuwa chini ya utawala was chama gani? Kilangila.
Tanzania needs either national leadership overhaul/transformation or political and economic revolution through the ballot.
This can only be possible by a new national constitution and a different political party other than ccm taking the reigns of the country.

Kwa kipindi cha zaidi ya nusu karne ilichokuwa madarakani, ccm hawajawa na sera wala ajenda ya muda mrefu ya kuwaletea wananchi maendeleo licha ya nchi kuwa na rasilimali lukuki. Kila awamu iliyoingia madarakani inakuwa na sera na ajenda mpya ilihali chama ni kile kile. Mabaraza ya Mawaziri yanajifunza kwa kufanya mazoezi ya kuongoza; jambo ambalo ni la hatari sana.

Kwenye awamu hii havionekani vipaumbele vya mipango ya maendeleo. Vipaumbele ni mambo machache kati ya mengi yanayopewa umuhimu wa kwanza kwa kuzingatia ukweli kuwa rasilimali zilizopo haziwezi kutosheleza gharama za mahitaji ya miradi mingi kwa wakati mmoja.

Ndiyo maana halmashauri zinalalama kuwa hazipatiwi fedha za miradi ya maendeleo wala za kujiendesha za kutosha na kwa wakati. Sipigii upatu utekelezaji wa miradi ya maendeleo ukwame na nchi ikose ukwasi, lakini hili si ajabu kutokea.
 
Katika ule mchakato sikutegemea kabisa apite. Na wengi tulijua jamaa ni bomu sana, lakini haya maovu yake mengine na udikteta hatukuvijua kabisa. Kikwete na Mkapa wametuletea balaa kubwa sana nchini.

Acheni kuwasema viongozi wetu wastaafu, aliopiga kura wakati wa uchaguzi ni “WANANCHI” = “REGISTERED VOTERS” na aliyependekeza ni Mhe Lowassa kwa kuelekeza wajumbe waliokuwa wanamuunga mkono! Chaguo la Wapiga kura usisingizie Mstaafu Rais Mkapa na mstaafu Rais Kikwete na kama hangeshinda Mhe Magufuli nchi ungekuta ushauzwa na Zanzibar kule na Tanganyika kule kama CUF wangalishika nchi(Soma katiba ya CUF ya 2000 mapinduzi ya 1964 haitambui.
 
Tulizana acha kukurupuka! Eti waliopiga kura ni Wananchi kwenye chaguzi FAKE!!!



Acheni kuwasema viongozi wetu wastaafu, aliopiga kura wakati wa uchaguzi ni “WANANCHI” = “REGISTERED VOTERS” na aliyependekeza ni Mhe Lowassa kwa kuelekeza wajumbe waliokuwa wanamuunga mkono! Chaguo la Wapiga kura usisingizie Mstaafu Rais Mkapa na mstaafu Rais Kikwete na kama hangeshinda Mhe Magufuli nchi ungekuta ushauzwa na Zanzibar kule na Tanganyika kule kama CUF wangalishika nchi(Soma katiba ya CUF ya 2000 mapinduzi ya 1964 haitambui.
 
Back
Top Bottom