Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 269,632
- 697,796
- Thread starter
- #441
Yeah kuna mazungumzo yaliendelea kwa sekunde kadhaHapo kuna jamaa alikuwa cjui anamuuliza kama kitanzi kimemkaba vizuri, kuna dialogue walifanya hapo kisha Saddam akatikisa kichwa
Sent using Jamii Forums mobile app
Jr