Kabrasha chumba cha kunyongea

Kuna kitu kinaitwa Hung man's noose yenyewe imekaaje?
Sijaiona kwenye hizi official
downloadfile-2.jpeg
 
Noma sana. Anaelewa na kupewa misosi ahitakayo ni mnyongwaji au mnyongwaji? Naona kama kuna mkanganyiko hapo.
 
Noma sana. Anaelewa na kupewa misosi ahitakayo ni mnyongwaji au mnyongwaji? Naona kama kuna mkanganyiko hapo.
Mnyongwaji anahudumiwa kila kitu akipendacho... Inaitwa karamu ya mwisho
Mnyongaji anapumzika akijiandaa kutoa roho hivyo anapewa vilevi alirelax
 
Mnyongwaji anahudumiwa kila kitu akipendacho... Inaitwa karamu ya mwisho
Mnyongaji anapumzika akijiandaa kutoa roho hivyo anapewa vilevi alirelax
Kwa hiyo anajua kabisa kesho ananyongwa? Fanya mpango udoondoshe hiyo part 2 kaka mkubwa
 
Kwa wenzetu walioendelea bado wanazidi kuboresha adhabu ya kifo kwa
Kukuwekea chumba kizuri chenye AC na manukato
Taa nzuri
Kitanda cha stainless steel
Godoro la gharama
Mikanda laini ya pure leather
Sindano ya usingizi
Sindano ya kuondoa maumivu
Sindano ya sumu
Mchomaji expert nknk
duh
 
SEHEMU YA PILI
Hii inahusika na vituko na simulizi za wanyongwaji
Vituko, waoga, wakorofi wapo popote duniani na simulizi zenye simanzi sana pia hazikosekani

Mfungwa mmoja huyu alikuwa gereza la Isanga, huyu jamaa naweza kuamini kwa hakika hakuua bali figisu ana ushahidi vilimfunga
Huyu jamaa aligoma kabisa kula mpaka alipoitiwa rafiki yake mmoja askari ndio akakubali kula wali kuku... Chakula hiki kilitoka Dodoma hotel na aliletewa vipapatio vya kutosha... Hata neno lake la mwisho alisema ananyongwa bila hatia
Mwingine alikuwa ni binti mmoja huyu aliuwa mwanae... Kama kuna msamaha baada ya kuhukumiwa na hati kusainiwa huyu binti angekuwa mmojawapo.... Alilia sana na kujutia sana na kuomba misamaha yote lakini haikusaidia.. Alikula kitanzi
Wengine. Walikuwa wana fulani hivi kesi ya robbery na mauaji.. Hawa walidai chai ya maziwa mikate yenye siagi na mayai ya kukaanga wapewe alfajiri... Walitimiziwa... Walikufa wakiwa wameshiba kabisa
Mmasai mmoja baada ya kugoma siku nzima kuagiza apendacho usiku alikuja kuagiza damu mbichi ya beberu... Jamaa walimletea lakini walimmaind sana.....
Mwingine alikuwa ni mzee mmoja alikuwa mchawi sana.. Huyu kitanzi kilidunda na alikaa na kitanzi dakika 45 nzima ndio akakata roho... Yule mnyongaji ilibidi amkanyage mgongoni mara 45 (anajua mwenyewe kwanini alifanya hivyo......
Makala ni ndefu bado
SEHEMU YA PILI
Hii inahusika na vituko na simulizi za wanyongwaji
Vituko, waoga, wakorofi wapo popote duniani na simulizi zenye simanzi sana pia hazikosekani

Mfungwa mmoja huyu alikuwa gereza la Isanga, huyu jamaa naweza kuamini kwa hakika hakuua bali figisu ana ushahidi vilimfunga
Huyu jamaa aligoma kabisa kula mpaka alipoitiwa rafiki yake mmoja askari ndio akakubali kula wali kuku... Chakula hiki kilitoka Dodoma hotel na aliletewa vipapatio vya kutosha... Hata neno lake la mwisho alisema ananyongwa bila hatia
Mwingine alikuwa ni binti mmoja huyu aliuwa mwanae... Kama kuna msamaha baada ya kuhukumiwa na hati kusainiwa huyu binti angekuwa mmojawapo.... Alilia sana na kujutia sana na kuomba misamaha yote lakini haikusaidia.. Alikula kitanzi
Wengine. Walikuwa wana fulani hivi kesi ya robbery na mauaji.. Hawa walidai chai ya maziwa mikate yenye siagi na mayai ya kukaanga wapewe alfajiri... Walitimiziwa... Walikufa wakiwa wameshiba kabisa
Mmasai mmoja baada ya kugoma siku nzima kuagiza apendacho usiku alikuja kuagiza damu mbichi ya beberu... Jamaa walimletea lakini walimmaind sana.....
Mwingine alikuwa ni mzee mmoja alikuwa mchawi sana.. Huyu kitanzi kilidunda na alikaa na kitanzi dakika 45 nzima ndio akakata roho... Yule mnyongaji ilibidi amkanyage mgongoni mara 45 (anajua mwenyewe kwanini alifanya hivyo......
Makala ni ndefu bado
 
Sitaki kuikosa hiyo sehemu ya pili.

Nimevutiwa na kipengele cha mnyongaji naye kukamatwa na kusomewa mashtaka ya uuwaji.
Hyo story ilishaletwa humu kitambo sana tena alihojiwa askari mstaafu ambae aliifanya kazi hyo kwa muda usiopungua miaka 25,alihojiwa na waandishi wa habari akaeleza kila kitu mpaka idadi ya watu walionyongwa kuanzia utawala wa nyerere mpaka........
Kila hatua alieleza,huyu kadonoa tu vitu na kuweka hapa
 
Mkuu hiyo ya mnyongaji kupombeka usiku kucha sijui kama nimekuelewa..
Maana kuna mnyongaji (mtaani ni maarufu kama nyonganyonga) mstaafu tuko nae kitaa,

Kunyonga kwake mbona haihitaji mbwembwe zozote (kulingana na maelezo yake) kama hizo za kupombeka usiku kucha..
Hapa katulisha matango pori atalewaje kazini...Jibu ni nooooo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom