The Mongolian Savage
JF-Expert Member
- Jul 5, 2018
- 6,191
- 13,614
Kwasababu ya kukwepa kuzuiwa kwa ajili ya madeni lukuki yaliyosababishwa kizembe na kifisadi, ka mwewe ketu katachagua sana viwanja vya kutua hadi kafike Bongo.
Nadhani hakatatua kabisa kwenye nchi za Commonwealth. Ndege zetu sasa hivi ni kama digidigi. So sad really!
Lissu bwana akujalie uvumilivu na afya njema.
magu2016
Nadhani hakatatua kabisa kwenye nchi za Commonwealth. Ndege zetu sasa hivi ni kama digidigi. So sad really!
Lissu bwana akujalie uvumilivu na afya njema.
magu2016