Phillemon Mikael
Platinum Member
- Nov 5, 2006
- 10,517
- 8,582
Wiki iliyopita ilitawaliwa na maaamuzi ya mkuu wa mkoa Hai kuvamia shamba la Ukoo wa Mbowe na kulivunja vunja miuondombinu yake ,ili ni shamba ambalo kwa miaka karibu 100 limekuwa likirithishwa kwa vizazi vya familia hiyo (ardhi ya kimila)
Ndani ya wiki hiyo pengine katika kufanya...watu waamini kuwa sasa...wakazi wa eneo hilo wamelipiza kisasi ,nyumba ya mwenyekiti wa ccm ilichomwa moto
Inajulikana kabisa wazi hata kwa jasusi mwanafunzi au mchambuzi au mtambuzi yeyote kuwa hizo ni mbinu za..kale za..kijasusi na kipropaganda za ku honganisha wananchi wa sehemu..husika..ili waaze kutengana kwa minajili ya vyama ,wasile ,wasidhereheke ,wasizikane , etc huko nyuma wapo watu waliaminishwa kuna popo bawa wakaamini, wako watu waliwekeana mavi isimani wakaamini na...mambo kama...hayo ,wanatakiwa kueleewa..mbinu hiyo ya utengano mfano wa iliozaaa vita vya kimbari au mfano wa yanayotokea mkuranga NI DHAMBI KUBWA SANA
Kabla ya uhuru Ufalme wa kilimanjaro (umangi) ulikua demokrasia ya vyama vingi ,wagombea ubunge walipatikana kupitia vyama vyao..ili..kwenda kwenye bunge la chagga ...,ilikuwa kama"dola." Wakiwa na serikali ,bunge ,mahakama chini ya...Mangi mkuu ..ikiwa.ni.kati ya native gorvement iliyofanikiwa afrika sawa na Kabaka ....hadi kuwa na akiba...ya pesa za...kigeni hivyo ajuwe wenyeji sio washamba wa..vyama vingi
Watu hawatabaguana kwa ajili ya..vyama na...tabia hiyo ikemewe na.serikali ,viongozi wa dini na kimila
Ndani ya wiki hiyo pengine katika kufanya...watu waamini kuwa sasa...wakazi wa eneo hilo wamelipiza kisasi ,nyumba ya mwenyekiti wa ccm ilichomwa moto
Inajulikana kabisa wazi hata kwa jasusi mwanafunzi au mchambuzi au mtambuzi yeyote kuwa hizo ni mbinu za..kale za..kijasusi na kipropaganda za ku honganisha wananchi wa sehemu..husika..ili waaze kutengana kwa minajili ya vyama ,wasile ,wasidhereheke ,wasizikane , etc huko nyuma wapo watu waliaminishwa kuna popo bawa wakaamini, wako watu waliwekeana mavi isimani wakaamini na...mambo kama...hayo ,wanatakiwa kueleewa..mbinu hiyo ya utengano mfano wa iliozaaa vita vya kimbari au mfano wa yanayotokea mkuranga NI DHAMBI KUBWA SANA
Kabla ya uhuru Ufalme wa kilimanjaro (umangi) ulikua demokrasia ya vyama vingi ,wagombea ubunge walipatikana kupitia vyama vyao..ili..kwenda kwenye bunge la chagga ...,ilikuwa kama"dola." Wakiwa na serikali ,bunge ,mahakama chini ya...Mangi mkuu ..ikiwa.ni.kati ya native gorvement iliyofanikiwa afrika sawa na Kabaka ....hadi kuwa na akiba...ya pesa za...kigeni hivyo ajuwe wenyeji sio washamba wa..vyama vingi
Watu hawatabaguana kwa ajili ya..vyama na...tabia hiyo ikemewe na.serikali ,viongozi wa dini na kimila