Kabla ya kuweka password kwenye sim fikiri kwanza; Yaliyomkuta huyu dada yaweza kuwa matatizo

Ahaarg!? maswali gani banaa je kuna umuhimu wa kuweka makomeo kwenye nymba zetu je kuficha ufunguo wa nyumba yako? mwee!
 
Ahaarg!? maswali gani banaa je kuna umuhimu wa kuweka makomeo kwenye nymba zetu je kuficha ufunguo wa nyumba yako? mwee!
 
ukiwaza kifo hata kujenga hutajenga si utakufa utaiacha.... sasa wewe usiweke nywila halafu simu yako iiibiwe utajuta wataibiwa hadi wale ambao umesave pia picha ulizopiga zitasambazwa kirahisi
 
Wife wako ana elimu kiasi gani, kabila gani, umri gani, na anafanya shughuli gani? 'Nimevutiwa' sana na kiwango cha wivu alicho nacho mke wako ndio maana nimependa kujua zaidi.
Acha tu ndg yangu.
Hayo maswali uliyouliza hayahusiani na wivu kabisa ila kielimu ni diploma.

Anaweza akachukua simu akafuta namba ya mwanamke na kumpiga mkwara marufuku kunitafuta bila mi kujua.

Sasa nachukua simu nimpigie mtu sioni namba yake kumbe mwenzangu kashakinukisha na kuifuta kabisa.

Kila simu inayopigwa anataka ajue ni nani, sasa atawafahamu wangapi nloishi nao au kusoma nao tangu primary.

Yani akiwepo naweka password, akiondoka nazitoa.
 
Hasara kubwa ya kutoweka password kwenye simu ni kwamba kwa style ya wizi wa sasa hv hiyo simu ikichukuliwa na vibaka phone book yako yote itatumiwa msg ikielezwa stori yyt ile kuomba hela kwa njia za miamala ya simu, kuna wengine hawajiulizi mara mbilimbili wakitumiwa msg za aina hiyo wanajikuta wanatuma tu fedha ambazo zinapotea kwa hy ni vzr simu iwekwe psswrd lakini iwe na uwezo wa kupokea simu zitakazoingia hy itasaidia iwapo tukio kama hilo limetokea sidhani kama itachukua zaidi ya saa moja kabla ya ndugu yyt kupiga simu hiyo na taarifa wataipata
 
Paswedi zimerefusha maisha ya ndoa nyingi vile vile....paswedi zimevunja ndoa nyingi......inategemea na dhumuni lako la kuweka paswedi kwenye kifaa chako......

Lakini kwa maoni yangu kwenye suala la huyo dada hukupaswa kwanza kupekua simu yake kwani kwanza ulitakiwa uhangaikie matibabu yake kwa kuwa uliamua kwa dhati kumsaidia.....manbo ya kutafuta ndugu ni ya baadae.....
 
Password kwenye simu hazina faida kama utaziweka kwenye majina ya simu, call history kama ikitokea dharura au tatizo kama la huyo dada. Ila ni muhimu kuwa na Password kwenye mitandao kama tigo pesa,m pesa, Account za bank na E mail.
Ni vizuri kufikiria wapi pa kuweka Password na wapi pa kuacha.
 
Hongera sana kwa mke wako kukusihi kumsaidia huyo dada...inaonekana ulikua unataka kumwacha bila msaada..siku nyingine uwe na huruma.
Nafikiri hapo hata wewe na mkeo mmejifunza coz hata simu zenu zina password.

Kweli kabisa wanasema do good to others others will do good to you
 
smart angu nisipoweka password inajipiga afu inachagua watu nlionuniana nao au sitaki kabisa mawasiliano nao. ila funzo
 
Ant-theft inatosha hskuna haja ya password za kijinga namna hiyo.

Naweka password tu kweny text maana wife anatabia ya ajabu kuwatext watu asiowajua na kuwapiga mkwara kumbe ni watu wa muhimu kwangu ila tatizo ni wivu wake.
Hahahah umenikumbusha jamaa mmoja Mbeya yeye akifika home tu hapatikani kaweka call baring, halafu Whatsapp kaunga kwenye laptop simu iko chaji. Wife wake anatulia akijua kakomesha kuchat
 
Password ni muhimu..!! Kama aliandikiwa kufa angekufaa tu wala sio sbb ya password na kama amepona, kapona tu, wala password haihusiki..!!

Almost kila kifaa hasa cha electronic kina password siku hizi..!! so password ni muhimu sana..!! KIFO nikitu kingine kabisa..!! ingekuwa siku yake imefika, wala hata ww usingemuona, ANGEKUFA hapo hapo...!!

Password ni lazima siku hizi..!!
 
mimi mke wangu hawekagi hizo password niko huru kushika simu yake ila kimbembe kwangu sasa password kwenye sms hongera kwa ulotoa msaada aiseee
 
Mambo Binafsi ya Mtu ni vizuri yaheshimiwe kuna watu sio wastaarabu,ukiacha simu yako hapo wanachukua na kuanza kuangalia mambo yako binafsi,lakini hongera kwa msaada wako uliompatia huyo dada.
 
Password ni muhimu..!! Kama aliandikiwa kufa angekufaa tu wala sio sbb ya password na kama amepona, kapona tu, wala password haihusiki..!!

Almost kila kifaa hasa cha electronic kina password siku hizi..!! so password ni muhimu sana..!! KIFO nikitu kingine kabisa..!! ingekuwa siku yake imefika, wala hata ww usingemuona, ANGEKUFA hapo hapo...!!

Password ni lazima siku hizi..!!
Wabishi mko wengi kweli
Kifo kipo lakini tumeamrishwa kuchukua tahadhari.
Ulichotakiwa kufanya ni kutoa umuhimu wa password
 
Back
Top Bottom