Peace_Keeper
New Member
- Aug 30, 2019
- 1
- 1
Na. M. M. Mwanakijiji
Kwani kwa nini tuliacha kulipa deni ambalo tulishakubali kuwa ni halali na tulishaanza kulilipa?
Niandikie: mwanakijiji@jamiiforums.com
Hitimisho lako lina swali la msingi sana. Kabla ya kuendelea na hatua nyingine yeyote, yapasa majibu mazuri yatolewe na serikali kuhusu hilo swali.
Ikiwa kutokulipa ilikuwa ni maamuzi halali ya serikali; basi bila shaka walijua tukio kama hili lingeweza tokea na tayari walijipanga. Kufeli kokote ama hasara itayopatikana wakubali kupokea lawama zote wao kama ambavyo watapongezwa wakifaulu.
Ikiwa ni mtu mmoja au kikundi cha watu na sio maamuzi yaliyofuata taratibu zinazotakiwa, basi hao watu ama hiko kikundi wawajibishwe kwa kadiri ya hasara iliyoingizwa. Wao ndo watakuwa watu sahihi wa kufunguliwa mashtaka ya uhujumu uchumi.
Twende kukata mzizi, tusihangaike na matawi.