Kabla ya kutoka CCM jiulize mara mbili; Horace Kolimba, Gen. Kombe, Balali, Sokoine wapo?

Pdidy

JF-Expert Member
Nov 22, 2007
50,956
22,148
Hili ni wazo la bure kwa wale waliobahatika kupata neema ya uongozi CCM Hasa za juu...kuna wenzetu wengi wamepotea katika mazingira ya kutatanisha na mpaaka leo hii si serikali wala nani anaewaongelea..kwa upande mwingine ningeweza kusema wamechukuliwa na misukule....kuna viongozi waliokuwa waadilifu wakataka kuhama CCM...wengine iliamuliwa waadhibiwe kule kule dodoma kabla ya kurudi kwao kama marehemu kolimba...yupo wapi sokoine maskin baba wa watu aliepata ajali usalama wakammaliza kwa kudai kafa ajalini...wapi balali alietaka kutoa siri za EPA dodoma akaishia kuletwa na ndege ya kukodi hapo airport kabla ya kwenda marekani na kuambiwa ur too late israel on the way we cant do anything....swala la uongozi CCM si kitu cha kuchezea wanandugu kama mna ndugu zenu wapeni tahadhari..wengi wanaweza mwona spika sitaa ni kichaa lakini anajua anachofanya anajuwa familia yake iko wangapi na anajua kumwondoa aichukui muda na anajua familia itatesekaje akiondoka...swala la uongozi wa ccm ni wewe na maisha yako na kama unahama vizuri uondoke kwa amani.....Ndio maana mnakumbuka ndugu yangu deo swanzugwako alipokimbia CCM .babu wassira stephen alipokimbia CCM wanajua kilichowafata na leo kuwa mawaziri na wengine wabunge........if u cant'm join'm.......hongera maalim seif.hamad

SWALI NAULIZA

HORACE KOLIMBA

BALALI

SOKOINE

WALIUUWAWA NA NANI??
 
leo hii nimepata ujumbe,,,,kwa nini viongozi wa serikali ya CCM wanaogopa kwenda kuabudu kanisa linalotoa misukule""""""""""""NYUMBA YA MUNGU """wanaogopa kuulizwa live na hao waliowachukua
 
Hili ni wazo la bure kwa wale waliobahatika kupata neema ya uongozi CCM Hasa za juu...kuna wenzetu wengi wamepotea katika mazingira ya kutatanisha na mpaaka leo hii si serikali wala nani anaewaongelea..kwa upande mwingine ningeweza kusema wamechukuliwa na misukule....kuna viongozi waliokuwa waadilifu wakataka kuhama CCM...wengine iliamuliwa waadhibiwe kule kule dodoma kabla ya kurudi kwao kama marehemu kolimba...yupo wapi sokoine maskin baba wa watu aliepata ajali usalama wakammaliza kwa kudai kafa ajalini...wapi balali alietaka kutoa siri za EPA dodoma akaishia kuletwa na ndege ya kukodi hapo airport kabla ya kwenda marekani na kuambiwa ur too late israel on the way we cant do anything....swala la uongozi CCM si kitu cha kuchezea wanandugu kama mna ndugu zenu wapeni tahadhari..wengi wanaweza mwona spika sitaa ni kichaa lakini anajua anachofanya anajuwa familia yake iko wangapi na anajua kumwondoa aichukui muda na anajua familia itatesekaje akiondoka...swala la uongozi wa ccm ni wewe na maisha yako na kama unahama vizuri uondoke kwa amani.....Ndio maana mnakumbuka ndugu yangu deo swanzugwako alipokimbia CCM .babu wassira stephen alipokimbia CCM wanajua kilichowafata na leo kuwa mawaziri na wengine wabunge........if u cant'm join'm.......hongera maalim seif.hamad

SWALI NAULIZA

HORACE KOLIMBA

BALALI

SOKOINE

WALIUUWAWA NA NANI??


Too imaginative!!! anyway, labda kwavile alipkufa Sokoine i was still a kid!!! Ina maana nae alitaka kutoka CCM?!?!?! Alitaka kuhamia chama gani? au alitaka kurudi umasaini!!? Na hilo suala la Balali wala haliingii akilini!! nani nchi nchi hii mwenye jeuri ya kutaka kwenda kumwaga mboga bungeni?
 
Mfano tuseme Sokoine aliuliwa na usalama wa taifa...nani ali-organize mauwaji hayo na kwa sababu gani....?
 
Hili ni wazo la bure kwa wale waliobahatika kupata neema ya uongozi CCM Hasa za juu...kuna wenzetu wengi wamepotea katika mazingira ya kutatanisha na mpaaka leo hii si serikali wala nani anaewaongelea..kwa upande mwingine ningeweza kusema wamechukuliwa na misukule....kuna viongozi waliokuwa waadilifu wakataka kuhama CCM...wengine iliamuliwa waadhibiwe kule kule dodoma kabla ya kurudi kwao kama marehemu kolimba...yupo wapi sokoine maskin baba wa watu aliepata ajali usalama wakammaliza kwa kudai kafa ajalini...wapi balali alietaka kutoa siri za EPA dodoma akaishia kuletwa na ndege ya kukodi hapo airport kabla ya kwenda marekani na kuambiwa ur too late israel on the way we cant do anything....swala la uongozi CCM si kitu cha kuchezea wanandugu kama mna ndugu zenu wapeni tahadhari..wengi wanaweza mwona spika sitaa ni kichaa lakini anajua anachofanya anajuwa familia yake iko wangapi na anajua kumwondoa aichukui muda na anajua familia itatesekaje akiondoka...swala la uongozi wa ccm ni wewe na maisha yako na kama unahama vizuri uondoke kwa amani.....Ndio maana mnakumbuka ndugu yangu deo swanzugwako alipokimbia CCM .babu wassira stephen alipokimbia CCM wanajua kilichowafata na leo kuwa mawaziri na wengine wabunge........if u cant'm join'm.......hongera maalim seif.hamad

SWALI NAULIZA

HORACE KOLIMBA

BALALI

SOKOINE

WALIUUWAWA NA NANI??

ha ha ha
BaLALI yuko visiwa vya Marta anakula bata tu.
 
Kama unaogopa kuondoka ccm kwa sababu tu ya kuhofia usalama wako, basi hufai kuwatumikia wananchi, kumbuka ya kwamba unapokuwa kiongozi unakubaliana na hali zote, viongozi wa namna hiyo ndio waliolifikisha taifa hapa tulipo hii leo, cause wanaangalia maslahi yao zaidi kuliko maslahi ya wale anaowaongoza

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kosa la Kolimba sio kuhama Chama bali alitaka kupasua Chama kwa kutumia Mamlaka na ushawishi wa madaraka aliyowahi kushika ya Ukatibu Mkuu wa chama
Mbona Mrema, Lowassa , Kingunge , Sumaye wote wamehama bila Tatizo !
Horace alikusudia kuvuruga Chama Yeye na ilifumwa Barua akimpelekea Swahiba wake Dilunga akisema 'Ukuta wa Barlin umeanguka'
Ilisomwa kwny CC ya Chama kila Mtu hakuamini!
 
Hili ni wazo la bure kwa wale waliobahatika kupata neema ya uongozi CCM Hasa za juu...kuna wenzetu wengi wamepotea katika mazingira ya kutatanisha na mpaaka leo hii si serikali wala nani anaewaongelea..kwa upande mwingine ningeweza kusema wamechukuliwa na misukule....kuna viongozi waliokuwa waadilifu wakataka kuhama CCM...wengine iliamuliwa waadhibiwe kule kule dodoma kabla ya kurudi kwao kama marehemu kolimba...yupo wapi sokoine maskin baba wa watu aliepata ajali usalama wakammaliza kwa kudai kafa ajalini...wapi balali alietaka kutoa siri za EPA dodoma akaishia kuletwa na ndege ya kukodi hapo airport kabla ya kwenda marekani na kuambiwa ur too late israel on the way we cant do anything....swala la uongozi CCM si kitu cha kuchezea wanandugu kama mna ndugu zenu wapeni tahadhari..wengi wanaweza mwona spika sitaa ni kichaa lakini anajua anachofanya anajuwa familia yake iko wangapi na anajua kumwondoa aichukui muda na anajua familia itatesekaje akiondoka...swala la uongozi wa ccm ni wewe na maisha yako na kama unahama vizuri uondoke kwa amani.....Ndio maana mnakumbuka ndugu yangu deo swanzugwako alipokimbia CCM .babu wassira stephen alipokimbia CCM wanajua kilichowafata na leo kuwa mawaziri na wengine wabunge........if u cant'm join'm.......hongera maalim seif.hamad

SWALI NAULIZA

HORACE KOLIMBA

BALALI

SOKOINE

WALIUUWAWA NA NANI??
Siasa sio uadui,Acha wahame..!
 
Ile ya Kolimba ilikuwa kali kuliko zote!!! Pia ya Sokoine nayo kali sana!!! Ya Kombe ni kama ya Lisu tu
 
Kachero mbobezi anagombea Urais kwa tiketi ya CCM, watake wasitake...!

Wanachama karibia robo tatu nzima wanasema mpaka kieleweke.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom