Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,956
- 22,148
Hili ni wazo la bure kwa wale waliobahatika kupata neema ya uongozi CCM Hasa za juu...kuna wenzetu wengi wamepotea katika mazingira ya kutatanisha na mpaaka leo hii si serikali wala nani anaewaongelea..kwa upande mwingine ningeweza kusema wamechukuliwa na misukule....kuna viongozi waliokuwa waadilifu wakataka kuhama CCM...wengine iliamuliwa waadhibiwe kule kule dodoma kabla ya kurudi kwao kama marehemu kolimba...yupo wapi sokoine maskin baba wa watu aliepata ajali usalama wakammaliza kwa kudai kafa ajalini...wapi balali alietaka kutoa siri za EPA dodoma akaishia kuletwa na ndege ya kukodi hapo airport kabla ya kwenda marekani na kuambiwa ur too late israel on the way we cant do anything....swala la uongozi CCM si kitu cha kuchezea wanandugu kama mna ndugu zenu wapeni tahadhari..wengi wanaweza mwona spika sitaa ni kichaa lakini anajua anachofanya anajuwa familia yake iko wangapi na anajua kumwondoa aichukui muda na anajua familia itatesekaje akiondoka...swala la uongozi wa ccm ni wewe na maisha yako na kama unahama vizuri uondoke kwa amani.....Ndio maana mnakumbuka ndugu yangu deo swanzugwako alipokimbia CCM .babu wassira stephen alipokimbia CCM wanajua kilichowafata na leo kuwa mawaziri na wengine wabunge........if u cant'm join'm.......hongera maalim seif.hamad
SWALI NAULIZA
HORACE KOLIMBA
BALALI
SOKOINE
WALIUUWAWA NA NANI??
SWALI NAULIZA
HORACE KOLIMBA
BALALI
SOKOINE
WALIUUWAWA NA NANI??