Wakudadavuwa
JF-Expert Member
- Feb 17, 2016
- 17,506
- 15,997
Ndugu zangu,
Vituko haviishi duniani, makamanda walihamasishana kugomea laini na huduma za kampuni ya Vodacom nchi nzima miaka michache iliyopita.
Juzi baada ya Sabaya kumpiga Mbowe jiwe la gizani kupitia Clouds makamanda wamekasirika,wamenuna kama kawaida wametangaza kununia na kususia Clouds Media.
Kwa upande wangu sina tatizo na uamuzi wao kususia na kununia Clouds Media. Nilikuwa ninataka umma wa Watanzania upewe tathimini na uamuzi wao kugomea huduma za kampuni ya Vodacom miaka michache iliyopita.
Je, wameinunia Clouds Media?
Vituko haviishi duniani, makamanda walihamasishana kugomea laini na huduma za kampuni ya Vodacom nchi nzima miaka michache iliyopita.
Juzi baada ya Sabaya kumpiga Mbowe jiwe la gizani kupitia Clouds makamanda wamekasirika,wamenuna kama kawaida wametangaza kununia na kususia Clouds Media.
Kwa upande wangu sina tatizo na uamuzi wao kususia na kununia Clouds Media. Nilikuwa ninataka umma wa Watanzania upewe tathimini na uamuzi wao kugomea huduma za kampuni ya Vodacom miaka michache iliyopita.
Je, wameinunia Clouds Media?