Elections 2010 Kabla ya kufikiria ushindi,je unayajua haya?

kaka salama? Naunga hoja yako asilimia 98.8, nadhani chadema wanajisahau kuwa oya oya nyingi sio wingi wa kura.


Kama sisiem wanamtaji mkubwa wa watu kama unavyodai, ni kitu gani kinawasumbua kuweka mabango makubwa kumtangaza mtu aliyekua Rais kwa miaka mitano? ni wazi alikua anaonekana kwenye vyombo vya habari hivyo hakukua na sababu kutumia fedha nyingi kwa matangazo badala yake fedha zingesaidia hata kwenye zahanati labda wangepata kura.

MABADILIKO NI LAZIMA
 
Takribani juma moja tu limebaki kabla ya uchaguzi mkuuTunashuhudia mambo yakizidi kupamba moto kwa kuendelea na kampeni, na gumzo kubwa ni pale Dr Slaa alipofanya mahojiano live na wapiga kura wake pale moven peak, mahojiano ambayo yaalivuta hisia za wengi kwa umahiri mkubwa aliouonyesha Dr Slaa katika kujibu hoja mbali mbali
Kama kawaida maandiko yangu yana angalia zaidi upande wa bara na hasa vyama vya CCM na CHADEMA, hivyo tathimini yangu itaegemea zaidi katika vyama hivi viwili


Nini hasa nguvu za vyama hivi zilipo,wapi ilipo mitaji yao ya kuelekea ktk kushinda uchaguzi mwaka huu kwa maana ya wingi wa kura utakao wapa wabunge wengi na kushinda urais

Kwa kuanza na CCM wanajigamba kushinda uchaguzi huu kwa kuzingatia makundi yafuatayo ambayo kwao wao ndio mtaji mkubwa kwao kulinda rekodi yao ya ushindi kila chaguzi.

WANACHAMA
CCM ianamtaji mkubwa wa wanachama ambao wao kwao CCM ni damu damu, na uzuri wa hawa wanachama takribani wote wamejiandikisha kupiga kura,
Mtandao huu kiukweli ulianza mikakati ya uchaguzi wakati wa uandikishaji wa daftari la wapiga kura kwa kuhakikisha kila mjumbe anasimamia wanachama wa eneo lake kwenda kujiandikisha, na ukaguzi wa nyumba hadi nyumba ukifanyika kuhakikisha wote wamejiandikisha kwanza.na hili linawasaidia sana hasa mijini ambapo watu wengi huwa hawajiandikishi.,

WAZEE NA WANAWAKE
Hili ni kundi lingine ambalo ni mtaji mkubwa kwa CCM
Wazee wengi kwa ujumla wao vichwani mwao bado CCM ni kila kitu, takribani maisha yao yote wamekuwa na CCM tangu TANU hadi leo, CCM ni sehemu ya maisha yao,wengine kwao ni wababaishaji tu
Wanawake wengi Tanzania hawana mwamko wa siasa kabisa, maranyingi wao ni fuata mkumbo (samahani kutumia neno hilo) maranyingi wanapiga kura kwa mazoea na pia wepesi kutishika na kurubuniwa, na kundi hili limeathiriwa sana na mtandao wa CCM kuanzia ngazi ya mjumbe wa shina na vikundi vyao.

VIJIJINI
Kama kuna kundi lenye msimamo, basi ama akika kundi hili lina msimamo, likisema no, ni no. na likisema yes ni yes.
Nikundi ambalo ukilishika basi unahakika na ndio maana hata wapinzani sehemu kubwa waliofanya vizuri ni katika kundi hili.
CCM wamefanikiwa kulishika vilivyo kundi hili kwasababu hawapati habari sahihi,upinzani ni kama uhani kwao, kutofikiwa na wapinzani na ngos kuishia mijini, mfumo wa utawala, kutofautisha chama na watendaji wa serikali, na mwisho wengi wao maisha wanayoishi wanaona kama ndio stahiki yao.

MAJIMBO YASIYO NA WAGOMEA WAPINZANI NA ZANZIBAR
Hata kabla ya uchaguzi tayari kuna majimbo CCM imeshapata ushindi kabla ya uchaguzi kuanzia ngazi ya udiwana na ubunge kwa tanzanaia bara na visiwana ambapo CHADEMA hawajatia kabisa mguu, huu ni mtaji mojawapo CCM wanautegemea ktk kusukuma ushindi wao


Makundi niliyo yataja hapo juu wengi wao ni wale ambao wao wanapiga kura kwa vigezo nilivyo vieleza bila kuangalia maswala ya uzuri wa sera au vitu vingine

Kwa upande wa CHADEMA sitakuwa na mengi sana ya kuandika sababu napata shida kidogo kupata hasa mtajiwao ukowapi, kama nitakuwa sivyo nahakika wadau mtanisawazisha

WASOMI NA WAFANYAKAZI KADA YA CHINI
Hili ni kundi ambalo CHADEMA wamefanikiwa kuli teka vilivyo,
wasomi wengi hasa wa mijini na vyuoni wamekuwa mstari wa mbele kuiunga mkono CHADEMA kutokana na sera zake zenye matumaini kwao na kwa taifa kwa ujumla.
kundi hili linaonekana kuyumbishwa kidogo kutokana na sintofahamu iliyotokea juu ya wanafunzi wa vyuo kuonekana watashindwa kupiga kura
Wafanyakazi wa kada kuanzia kati na chini na wafanyabiashara ndogo ndogo nao ni kundi lingine ambalo linaiunga sana mkono chadema na kuonekana mtaji mkubwa kwa CHADEMA na kundi hili linaonekana sana mijini


AGENDA YA UFISADI NA KASORO ZA CCM
Kimantiki huu ndio mtaji mkuu wa CHADEMA, mtaji ambao hauna kundi specific isipokuwa unatarajiwa kunyakua kura toka ktk makundi tajwa ya CCM ambayo sera kwao sio tija, tija kwao ni kupigia CCM.,
CHADEMA hawana mtandao mkubwa kama CCM wanategemea zaidi agenda hizo ili ziwa bebe kuwa shawishi wapiga kura kupata kura
Na agenda hizo pia zimetokea kuungwa mkono kwa kiasi kikubwa na NGOS mbali mbali na wanaharakati,


Sina nia ya kukatisha tamaa wapinzani,na katika siasa lolote laweza tokea na kila chama kinanafasi ya kushinda lakini kwa kuzingatia nilicho eleza hapo juu naamini hata wewe unapata picha ni chama gani kina nafasi kubwa ya kushinda uchaguzi.
wingi wa watu katika kampeni sio kigezo kabisa cha kushinda kwani kila chaguzi tunaona mambo huwa hivi hivi, mwisho wa siku matokeo wote tuna yajua
Inawezekana kweli kabisa ikawa CCM haifanyi vizuri kiutawala, lakini sio kigezo cha wao kushindwa katika chaguzi na hasa kwa nchi zetu zinazo endelea, mfumo ni tofauti sana na nchi zilizo endelea.
Wito wangu kwa wanamageuzi,wanakazi kubwa sana yakufanya kuleta mageuzi zaidi ya kusimama majukwaani na kuikosoa CCM.
Ukisoma post nyingi utaona ni jinsi gani wana JF wanavyofikiria ushindi kwa upinzani ni rahisi, wao akili yao ipo katika kuibiwa kura tu, wanachoamini wao ukidhibiti wizi wa kura basi umeshinda uchaguzi.
Nahuu ndio ukweli mgumu kuukubali
Mwenye macho haambiwi tazama, let’s wait nd see

Pulss
Respect to you man!:thumb:
 
Kijijini kwangu Mwenyekiti wa CCM anamchagua Mbunge wa CHADEMA na Rais SLAA. Yaani suala la CCM kuwa na wanachama wengi ndio kigezo cha kushinda hilo futa. Utafiti wa TCIB unaonyesha kuwa ni wanachama wa CCM asilimi 80 tu ndo watakaompa kura JK. Huu ni utafiti wa September mpaka mid October. hii asilimia imekwisha shuka inawezekana mpaka tarehe 31 October ikabaki asilimia 60. wapiga kura ni milioni 18 je kati ya hawa ni asilimia ngapi ambao ni wanachama wa CCM . Mtoa mada ukizichambua hizi statistics utagundua kwamba unayosema kuhusu CCM kushinda kwa vigezo vyako ni night mare tu.

Jamani kura zetu kwa nani? ni DK Slaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!
 
Wana JF mimi nafikiri post kama hizi tusiwe tunazi reply. Kama mtu hana hoja jengefu plizi akalale, yaani huyu jamaa ndo akina redet na synovate. Na hasirudie tena.
 
takribani juma moja tu limebaki kabla ya uchaguzi mkuutunashuhudia mambo yakizidi kupamba moto kwa kuendelea na kampeni, na gumzo kubwa ni pale dr slaa alipofanya mahojiano live na wapiga kura wake pale moven peak, mahojiano ambayo yaalivuta hisia za wengi kwa umahiri mkubwa aliouonyesha dr slaa katika kujibu hoja mbali mbali
kama kawaida maandiko yangu yana angalia zaidi upande wa bara na hasa vyama vya ccm na chadema, hivyo tathimini yangu itaegemea zaidi katika vyama hivi viwili


nini hasa nguvu za vyama hivi zilipo,wapi ilipo mitaji yao ya kuelekea ktk kushinda uchaguzi mwaka huu kwa maana ya wingi wa kura utakao wapa wabunge wengi na kushinda urais

kwa kuanza na ccm wanajigamba kushinda uchaguzi huu kwa kuzingatia makundi yafuatayo ambayo kwao wao ndio mtaji mkubwa kwao kulinda rekodi yao ya ushindi kila chaguzi.

wanachama
ccm ianamtaji mkubwa wa wanachama ambao wao kwao ccm ni damu damu, na uzuri wa hawa wanachama takribani wote wamejiandikisha kupiga kura,
mtandao huu kiukweli ulianza mikakati ya uchaguzi wakati wa uandikishaji wa daftari la wapiga kura kwa kuhakikisha kila mjumbe anasimamia wanachama wa eneo lake kwenda kujiandikisha, na ukaguzi wa nyumba hadi nyumba ukifanyika kuhakikisha wote wamejiandikisha kwanza.na hili linawasaidia sana hasa mijini ambapo watu wengi huwa hawajiandikishi.,

wazee na wanawake
hili ni kundi lingine ambalo ni mtaji mkubwa kwa ccm
wazee wengi kwa ujumla wao vichwani mwao bado ccm ni kila kitu, takribani maisha yao yote wamekuwa na ccm tangu tanu hadi leo, ccm ni sehemu ya maisha yao,wengine kwao ni wababaishaji tu

wanawake wengi tanzania hawana mwamko wa siasa kabisa, maranyingi wao ni fuata mkumbo (samahani kutumia neno hilo) maranyingi wanapiga kura kwa mazoea na pia wepesi kutishika na kurubuniwa, na kundi hili limeathiriwa sana na mtandao wa ccm kuanzia ngazi ya mjumbe wa shina na vikundi vyao.

vijijini
kama kuna kundi lenye msimamo, basi ama akika kundi hili lina msimamo, likisema no, ni no. Na likisema yes ni yes.
Nikundi ambalo ukilishika basi unahakika na ndio maana hata wapinzani sehemu kubwa waliofanya vizuri ni katika kundi hili.
Ccm wamefanikiwa kulishika vilivyo kundi hili kwasababu hawapati habari sahihi,upinzani ni kama uhani kwao, kutofikiwa na wapinzani na ngos kuishia mijini, mfumo wa utawala, kutofautisha chama na watendaji wa serikali, na mwisho wengi wao maisha wanayoishi wanaona kama ndio stahiki yao.

majimbo yasiyo na wagomea wapinzani na zanzibar
hata kabla ya uchaguzi tayari kuna majimbo ccm imeshapata ushindi kabla ya uchaguzi kuanzia ngazi ya udiwana na ubunge kwa tanzanaia bara na visiwana ambapo chadema hawajatia kabisa mguu, huu ni mtaji mojawapo ccm wanautegemea ktk kusukuma ushindi wao


makundi niliyo yataja hapo juu wengi wao ni wale ambao wao wanapiga kura kwa vigezo nilivyo vieleza bila kuangalia maswala ya uzuri wa sera au vitu vingine

kwa upande wa chadema sitakuwa na mengi sana ya kuandika sababu napata shida kidogo kupata hasa mtajiwao ukowapi, kama nitakuwa sivyo nahakika wadau mtanisawazisha

wasomi na wafanyakazi kada ya chini
hili ni kundi ambalo chadema wamefanikiwa kuli teka vilivyo,
wasomi wengi hasa wa mijini na vyuoni wamekuwa mstari wa mbele kuiunga mkono chadema kutokana na sera zake zenye matumaini kwao na kwa taifa kwa ujumla.
Kundi hili linaonekana kuyumbishwa kidogo kutokana na sintofahamu iliyotokea juu ya wanafunzi wa vyuo kuonekana watashindwa kupiga kura
wafanyakazi wa kada kuanzia kati na chini na wafanyabiashara ndogo ndogo nao ni kundi lingine ambalo linaiunga sana mkono chadema na kuonekana mtaji mkubwa kwa chadema na kundi hili linaonekana sana mijini


agenda ya ufisadi na kasoro za ccm
kimantiki huu ndio mtaji mkuu wa chadema, mtaji ambao hauna kundi specific isipokuwa unatarajiwa kunyakua kura toka ktk makundi tajwa ya ccm ambayo sera kwao sio tija, tija kwao ni kupigia ccm.,
chadema hawana mtandao mkubwa kama ccm wanategemea zaidi agenda hizo ili ziwa bebe kuwa shawishi wapiga kura kupata kura
na agenda hizo pia zimetokea kuungwa mkono kwa kiasi kikubwa na ngos mbali mbali na wanaharakati,


sina nia ya kukatisha tamaa wapinzani,na katika siasa lolote laweza tokea na kila chama kinanafasi ya kushinda lakini kwa kuzingatia nilicho eleza hapo juu naamini hata wewe unapata picha ni chama gani kina nafasi kubwa ya kushinda uchaguzi.
Wingi wa watu katika kampeni sio kigezo kabisa cha kushinda kwani kila chaguzi tunaona mambo huwa hivi hivi, mwisho wa siku matokeo wote tuna yajua
inawezekana kweli kabisa ikawa ccm haifanyi vizuri kiutawala, lakini sio kigezo cha wao kushindwa katika chaguzi na hasa kwa nchi zetu zinazo endelea, mfumo ni tofauti sana na nchi zilizo endelea.
Wito wangu kwa wanamageuzi,wanakazi kubwa sana yakufanya kuleta mageuzi zaidi ya kusimama majukwaani na kuikosoa ccm.
Ukisoma post nyingi utaona ni jinsi gani wana jf wanavyofikiria ushindi kwa upinzani ni rahisi, wao akili yao ipo katika kuibiwa kura tu, wanachoamini wao ukidhibiti wizi wa kura basi umeshinda uchaguzi.
nahuu ndio ukweli mgumu kuukubali
mwenye macho haambiwi tazama, let’s wait nd see

pulss

paulls ni kweli utafiti kuwa ccm ina mtaji mkubwa sana na ambao ndani yake ni watu ambao wamejiandikisha. Lakini kitu ambacho haufahamu ni kwamba kutokana na wanaccm wakiwemo viongozi wa ngazi mbali mbali kukerwa na kuchoshwa na uifisadi chadema itafanikiwa kuvuna kura nyingi sana kutoaka makundi hayo.
 
Mimi si mwanachama wa chama chochote, hata uchaguzi uliopita nilikuwa na imani kubwa sana na kikwete. Kwa leo hii nikikwambia katika familia yangu tuko takribani nane ni mmoja tu ndio anatetea ccm. mimi baba yangu mzazi ambaye yukohuko vijijini leo ukimwambia habari za kikwete hakuelewi kabisa na nimwana ccm, na ni mwenyekiti wa kijiji, lakini wote huko kila ninayemdadisi anasema yeye kura yake ni kwa dr slaa. haya, hata hapa ofisini hakuna hata mmoja anayeunga mkono ccm. kwa haraka hiyo tathmini yako ni nzuri lakini imepitwa na wakati, itafutie namna nyingine ya kuonyesha kikwete atashinda. lakini kimakundi kamaulivyotaja hapo, sikuungi mkono, ninaweza kuungana nawe kwenye kundi la wanawake, ambalo nalo ni nusu kwa nusu.
 
Wana JF mimi nafikiri post kama hizi tusiwe tunazi reply. Kama mtu hana hoja jengefu plizi akalale, yaani huyu jamaa ndo akina redet na synovate. Na hasirudie tena.
mkuu baina hoja jengefu kwako wewe ni zipi? najaribu kueleza hali ilyopo na dhani utanielewa vizuri zaidi baada ya matokeo kutoka kuwa hoja yangu ni jengefu na wala si kama wewe unayetaka kusikia unayo yataka wewe tu
 
Kweli haya ni mawazo mgando ambayo haindani na halisia. Paulss aendelee kutazama luninga leo saa tano usiku ili apate marudio ya mdahalo wa Mh. Rais Mtarajiwe WPS.
 
nguvu ya CCM

Hivi mtu anapoongelea NGUVU YA CCM ana maanisha nini??? CCM ina nguvu gani kushinda CHADEMA???

1. hata kama mgombea wa CCM anategemea nguvu za giza; mgombea wa CHADEMA anategemea nguvu za Mungu aliye hai na ndio maana mkono wake umepona faster, na Mungu alimuwezesha kufanya campaign hata alipokuwa amefungwa POP.

2. hata kama CCM inategemea nguvu ya vyombo vya dola - jeshi, polisi, mgambo - HAO WANACHI WALIOKO KWENYE VYOMBO HIVYO - NAO WAMECHOKA NA KERO NYINGI ZA MAISHA - WAKUBWA WAO WAKIISHI KWA ANASA WAKATI WAO NA FAMILIA ZAO WANAISHIA KUPIGA SALUTE! - hivyo hawatatumia nguvu kwa BABA ZAO, MAMA ZAO, KAKA ZAO, DADA ZAO, BABU ZAO, BIBI ZAO - ambao ndio WAPIGA KURA WA TANZANIA - NA WENGI WAO (KARIBUNI WOTE] wameamua KUMPA DR. SLAA KURA YA NDIO
Soooooooooooooooooooooooooooooooooo USHINDI NI KWA CHADEMA - period [HAKUNA CHA KULETA MASHAKA WALA NINI - DR SLAA - THE NEXT PRESIDENT]
kwa nguvu KURA YA MTANZANIA!!!
 
Kijijini kwangu Mwenyekiti wa CCM anamchagua Mbunge wa CHADEMA na Rais SLAA. Yaani suala la CCM kuwa na wanachama wengi ndio kigezo cha kushinda hilo futa. Utafiti wa TCIB unaonyesha kuwa ni wanachama wa CCM asilimi 80 tu ndo watakaompa kura JK. Huu ni utafiti wa September mpaka mid October. hii asilimia imekwisha shuka inawezekana mpaka tarehe 31 October ikabaki asilimia 60. wapiga kura ni milioni 18 je kati ya hawa ni asilimia ngapi ambao ni wanachama wa CCM . Mtoa mada ukizichambua hizi statistics utagundua kwamba unayosema kuhusu CCM kushinda kwa vigezo vyako ni night mare tu.

Jamani kura zetu kwa nani? ni DK Slaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!

paulls ni kweli utafiti kuwa ccm ina mtaji mkubwa sana na ambao ndani yake ni watu ambao wamejiandikisha. Lakini kitu ambacho haufahamu ni kwamba kutokana na wanaccm wakiwemo viongozi wa ngazi mbali mbali kukerwa na kuchoshwa na uifisadi chadema itafanikiwa kuvuna kura nyingi sana kutoaka makundi hayo.
Natambua sana upinzani mwaka huu watafanya vizuri zaidi ya miaka iliyopita, hilo halina ubishi, na ninapozungumzia hayo makundi ndugu zangu simaanishi kila mwanachama, mzee, wnakijiji mwanamke lazima wapigie kura CCM, hapana,

Let me try to make it simple for you guys, nakumbuka wakati nipo sekondari tulisoma somo la hisabati topic ya propability, unapochukua mipira 20 ya njano, na 2 ya kaki ukaweka katika pipa, ukaichanganya nakisha uingize mkono utoe mpira mmoja tu, je utatoa wa njano au wa kaki, ukiangalia mfano huu utaona unaweza kutoa wowote, uwe wanjano au kaki, but what a chances, kaki ana mbili na njano ana 20, hivyo hata CHADEMA anaweza kushinda, isipokuwa kama njano ikichaguliwa kaki haitakiwi kulalama sababu anajua nafasi yake ilikuwaje
.
So maandiko yangu yanajaribu kuonyesha chances za CCM na CHADEMA katika mbio zao za kuingia ikulu thats all
 
Back
Top Bottom