Arien
JF-Expert Member
- Aug 29, 2017
- 11,245
- 11,738
Na huu ndio ukweli wengi ukiwauliza atakwambia anataka apate vyombo & vitu mbalimbali vya kuanzia maisha...ni uboya uboya!Harusi ni ya wawili,shida ya wengi aim ya kufanya sherehe kwa maharusi wengi
Tamaa ya mazawadi na vitu watakavyopewa,yani wengi hutaka Harusi(sherehe) kama kupata mtaji wa Kununulia mahitaji
ya kuanzia kama Kabati,fridge,vitanda,nk nk yani zile asset kubwa kubwa
Watu wanagharamika kualika watu wengi ili COST irudi na FAIDA juuu
Harusi imekua kama Biashara siku hizi