Red Giant
JF-Expert Member
- Mar 9, 2012
- 15,658
- 20,889
Wengi ni wageni kabisa. Hawajawahi kabisa kufanya utumishi wa umma wala ABC za kuongoza wilaya.
Ni vema wapigwe klash program Ili wafanye kazi yao kwa weledi.
Tunahitaji viongozi ambao maendeleo ndiyo kitakuwa kipaumbele chao, viongozi wabunifu. Ikiwezekana wapewe na malengo na wapimwe kwa hayo.
Ni vema wapigwe klash program Ili wafanye kazi yao kwa weledi.
Tunahitaji viongozi ambao maendeleo ndiyo kitakuwa kipaumbele chao, viongozi wabunifu. Ikiwezekana wapewe na malengo na wapimwe kwa hayo.