Genius Messi
Member
- Oct 14, 2017
- 74
- 52
Serikali kujipanga kuanza kwa mamlaka ya nyumba ni mpango mzuri utakao punguza makali ya maisha kwa watanzania wengi, hatua ya kupongezwa.
Lakini pia ingekua vizuri wangeanzia kwenye ada(fees) kuangalia upande huo kuanzia nursery hadi vyuo vikubwa watu binafsi wamekua wakijipangia viwango vya juu mno watakavyo inaumiza sana.
Tukisaidiwa huko na wakipita kwenye afya angalau kila mtanzania awe na bima kwa malipo yasioumiza.
Lakini pia ingekua vizuri wangeanzia kwenye ada(fees) kuangalia upande huo kuanzia nursery hadi vyuo vikubwa watu binafsi wamekua wakijipangia viwango vya juu mno watakavyo inaumiza sana.
Tukisaidiwa huko na wakipita kwenye afya angalau kila mtanzania awe na bima kwa malipo yasioumiza.