ohooKimboka
Kama washakupaka wese fanya kama unajikuna tu😂😂😂JARIBIO LA KWANZA KWANGU BAADA YA KUANZA KAZI
Itaendeleaaaa.......
Wale ma supervisor wa kitengo nilichopo waliniangalia sana wakaniita chemba,,,unajua nini kilifata walinivua overall na kunipaka mafuta kwenye makalio.
Kilichofata itaendelea....
Kwa hyo now uko wapi mkuu??dogo unapamba sana...mie nilikuea hapo 2004 to 2005...nilikuwa blowing machines...zile za kuzalisha chupa...kumaintaine machines na production.
Enzi hizo...kuna maji mpaka ya viroba yale ya kandolo...
Mpaka bakhressa anatupigia simu...kwenye hizo chum power machines toka Thailand....kuuliza production na machines zake maaana zilikuwa mpya sana.
Kuna madogo niliwafundisha kazi wkt nasepa...wakachukua maisha...
Sasa dogo unasimulia kwa mbewembwe sana....sema watu wakuunge uchuke maisha full wenzio tuna history ndefu sana hapo.
Sukupenda salary nikasepa kwenda chuo...kuongeza elimu...
Tuliposepa mzee anaulizia vijana wake...
Ndio hivyo maslahi...