Kabla 'sijamjibu' David Mwakalebela (Makamu Mwenyekiti wa Yanga SC) namwomba anijibu haya upesi

Kutokana na Yanga kukiri jana kuwa walifoji mkataba wa Morrisson msimu uliopita ni dhahiri wanatakiwa kunyang'anywa pointi na hii itapeleke kuweza kushushwa daraja. Ile kamati ililiona hili ila walifichaficha.. Sasa Yanga wanataka Simba akose pointi zake 10 huku wao wakisahau yatakayowakuta.
Shauri la msingi lillilo jadiliwa Tff ilikua Morrison ana mkataba au hana mkataba? Hukumu ikatolewa na kuonyesha Morrison anao mkataba Yanga ila unamapungufu cha kushangaza kutokana na mapungufu ambayo kwa mujibu wa kamati ni sahihi za viongozi wa Yanga Tff waka uvunja mkataba na Morrison akawa huru.
Shida inakuja mkataba alio saini Simba hauna sahihi za viongozi kama ule wa Yanga. Kwaiyo Yanga wanahaki ya kuhoji ili warudishiwe haki yao ya umiliki wa Morrison au walipwe Ada ya uhamisho mambo yaishe.
 
Shauri la msingi lillilo jadiliwa Tff ilikua Morrison ana mkataba au hana mkataba? Hukumu ikatolewa na kuonyesha Morrison anao mkataba Yanga ila unamapungufu cha kushangaza kutokana na mapungufu ambayo kwa mujibu wa kamati ni sahihi za viongozi wa Yanga Tff waka uvunja mkataba na Morrison akawa huru.
Shida inakuja mkataba alio saini Simba hauna sahihi za viongozi kama ule wa Yanga. Kwaiyo Yanga wanahaki ya kuhoji ili warudishiwe haki yao ya umiliki wa Morrison au walipwe Ada ya uhamisho mambo yaishe.

TFF wanajadili Mikataba inayowekwa mezani sio ya kwenye Facebook.

Huo wa kwenye Facebook jadilini wenyewe huko Utopoloni.
 
Shauri la msingi lillilo jadiliwa Tff ilikua Morrison ana mkataba au hana mkataba? Hukumu ikatolewa na kuonyesha Morrison anao mkataba Yanga ila unamapungufu cha kushangaza kutokana na mapungufu ambayo kwa mujibu wa kamati ni sahihi za viongozi wa Yanga Tff waka uvunja mkataba na Morrison akawa huru.
Shida inakuja mkataba alio saini Simba hauna sahihi za viongozi kama ule wa Yanga. Kwaiyo Yanga wanahaki ya kuhoji ili warudishiwe haki yao ya umiliki wa Morrison au walipwe Ada ya uhamisho mambo yaishe.
Ndugu yangu pole sana.
 
Shauri la msingi lillilo jadiliwa Tff ilikua Morrison ana mkataba au hana mkataba? Hukumu ikatolewa na kuonyesha Morrison anao mkataba Yanga ila unamapungufu cha kushangaza kutokana na mapungufu ambayo kwa mujibu wa kamati ni sahihi za viongozi wa Yanga Tff waka uvunja mkataba na Morrison akawa huru.
Shida inakuja mkataba alio saini Simba hauna sahihi za viongozi kama ule wa Yanga. Kwaiyo Yanga wanahaki ya kuhoji ili warudishiwe haki yao ya umiliki wa Morrison au walipwe Ada ya uhamisho mambo yaishe.
Iko hivi Simba ilimsajili Morrison aliye huru baada ya kuona hana mkataba na Yanga. Yanga imeona Morrison hana mkataba na Simba basi imsajili huyo Morrison aliye huru. Ila kuhoji kuwa kwa vile mkataba wa Morrison na Simba haupo basi umiliki wa Morrison urudishwe Yanga ni utopolo wa hali ya juu.
 
Magori kawajibu vizuri mkataba unawahusu Simba, Morison, FIFA na tff wao yanga huo mkataba wameupataje
Msiwe wepesi wa kusahau.
Wakati SIMBA walipoilalamikia TP MAZEMBE kumtumia BOKUNGU na hatimaye TP MAZEMBE kupokwa ushindi je SIMBA walikuwa sehemu ya mkataba kati MAZEMBE na BOKUNGU?
 
Msiwe wepesi wa kusahau.
Wakati SIMBA walipoilalamikia TP MAZEMBE kumtumia BOKUNGU na hatimaye TP MAZEMBE kupokwa ushindi je SIMBA walikuwa sehemu ya mkataba kati MAZEMBE na BOKUNGU?
Uneducated ishu ya mazembe sio mkataba bali ni swala la uhamisho toka timu alitochezea awali lakini mkataba wa yule mchezaji na mazembe haukuwa na tatizo
 
Back
Top Bottom