Natanguliza heshma zangu kwenu!!hivi kwa waliooana yaani (mke na mume)katika safari ya kukutana au kabla hamjajuana na sasa ni mke na mume hivi kuna aliejua huyu ndo mume wangu au mke wangu??
Mkuu msaidie kuweka nyama uzi wake ili uwe mtamu zaidiUzi mtamu lkn kashindwa kuwakilisha vyema
sasa mbona hujamuambia na nani una kesi leomm nimeolewa kwakweli tafuta aliye single