Mgonga Like
JF-Expert Member
- Mar 30, 2015
- 1,250
- 1,641
Bira shaka utakua unafuga njiwa wewe au haupo makini na mifugo yako. Anza tena kufanya utafiti wako kwanzia hapo nyumbani mpaka uko unapoenda kuwachunga kisha ndio ujeKama umewahi kufuga, iwe mbuzi au kuku... unazingatia nini ratio ya madume na majike!
Uliona wapi jike moja kupandwa na madume wengi?
Kalagabaho.